Namhurumia sana. Nimpe?

Field watu wa level gan? Watu wako vyuoni sahivi lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa huu mwandiko Kweli Tanzania kuna watu wa ovyo!. We nae ni kiongozi?? Bora Mimi mbeba zege
 
Hawa ndiyo watumishi tunaotarajia watuletee maendeleo ya nchi...

R.I.P Taifa letu..
 
Acha zinaa wewe...
 
Eti umpe tangu lini mwanaume akampa mwanamke, sema nmle, nimbandue, nimmege utaeleweka
 
Kijana wa hovyo nadhani ushaelewa ulichoambiwa na wengi. Kiufupi ni kwamba acha kuendekeza ngono.
 
Kwa mwandiko huu!
Sidhani kama tutafika uchumi wa kati!
Tutaishia kwenye tour tu! [emoji34][emoji34]
 
Halafu mnaomba muongezewe mishahara. Kodi zetu tunazitupa tu.
 
hawa watoto
So? [emoji848]
Wao wanapata faida gani sasa!!
Dah! Nimeuliza swali la kitoto sana! ila utanisamehe tu!!
Mr Director
Hakuna faida wanayopata... Hawa watoto wa kike wengi wao wanapoenda field wengi wanakua hawana pesa za matumizi ya chai chakula au nauli kilasiku, lakini hata wakiwa nazo pesa za kujikimu wanaamini kutoa penzi kwa mfanyakaz wa ofisi husika ni status kwake au anatengeneza connection ya kuja kuajiriwa baadae... Hawajui hakuna status wala connection wanaliwa na kusahaulika na pengine kupewa magonjwa... Wanaume sometimes tuwe na huruma sio vzuri kutembea na mwanamke kwasabab ana shida ya jambo fulani. Sometimes unatenda wema bila kutaka ngono ni baraka sana kwa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…