Namhurumia sana. Nimpe?

Namhurumia sana. Nimpe?

Kijana nahitaji FULL ADDRESS yako nikusaidie kitu.

Eeeh nikushughulikie maana hufai kuwepo hapo ulipo, ninyi ndio mlifanya vyeti feki waonekane hawastahiki kukaa maofisini kwakukosa vigezo vya kielimu kumbe wasomi mliopo hamna maana wala hamna tofaut na wahuni wa huku mitaani,

Na kumbe kuna panya mlibaki na hamkidhi vigezo vya kubaki humo maofisini.

Nawaurumia sana watoto wako kwa kuwa na mzaz wa hovyo, unawaaibisha wafanyakazi wenzio pamoja na wanaume kiujumla hufai kuwa wa mfano.

Jf kila siku inazidi kupoteza umaana wake sababu ya hawa wapuuzi wanaovaamia humu.

Oya achia iyo ofisi kabla sjakushughurikia kitradition[emoji41]..
 
Habarini wanajamvi

Aisee ofisini kwangu wamekuja waschana 4 field watatu ni waremb ila mmoja ni mrembo sana.

Sasa wakati wanafika nlikuwa safari kikazi kwa mwezi mzima hivo alikuwepo officemate wangu.

Jamaa mroho na yupo faster balaa nikakuta keshajimilikisha. Basi bwana nimekuja hivi mm nikawa cool kabisa sitaki kuonyesha dalili ya kuomba tuna kumbe wao wanajadiliana huko kweusi na oficemate wangu anajua.

Huyu mmoja alobakia havutii hata kidogo tu ila ananipenda sana and she is rotten to the core ni mdogo tu 18 to 20yrs, mm sivutiwi naye kabisa nampenda huyu mrembo kuliko wote jamaa hajala na dem kamkazia baada ya mm kuja ss jamaa kuona hivo akaomba mwenzao mmoja na keshagonga.

Sasa nimeamua kuwakaushia wote kwani namhurumia endapo nitamchukua huyu mzuri kuliko wote huyu anayenipenda nitamuumiza sana na kwakweli namhurumia kwani ana-declare kabisa ananipenda hadharani
Mhhh hivi mbona me nmesoma lkn sielewi
 
Habarini wanajamvi

Aisee ofisini kwangu wamekuja waschana 4 field watatu ni waremb ila mmoja ni mrembo sana.

Sasa wakati wanafika nlikuwa safari kikazi kwa mwezi mzima hivo alikuwepo officemate wangu.

Jamaa mroho na yupo faster balaa nikakuta keshajimilikisha. Basi bwana nimekuja hivi mm nikawa cool kabisa sitaki kuonyesha dalili ya kuomba tuna kumbe wao wanajadiliana huko kweusi na oficemate wangu anajua.

Huyu mmoja alobakia havutii hata kidogo tu ila ananipenda sana and she is rotten to the core ni mdogo tu 18 to 20yrs, mm sivutiwi naye kabisa nampenda huyu mrembo kuliko wote jamaa hajala na dem kamkazia baada ya mm kuja ss jamaa kuona hivo akaomba mwenzao mmoja na keshagonga.

Sasa nimeamua kuwakaushia wote kwani namhurumia endapo nitamchukua huyu mzuri kuliko wote huyu anayenipenda nitamuumiza sana na kwakweli namhurumia kwani ana-declare kabisa ananipenda hadharani
Napata picha halisi ya Taasisi yenu, ni mbovu na imekaa kienyeji mno(sorry). Yaani from nowhere mabinti wanakuja field na kuanza kuwatongoza? Hao ni wahuni, si wanafunzi.

Inaonekana inaendeshwa kienyeji mno(primitively)!
 
Habarini wanajamvi

Aisee ofisini kwangu wamekuja waschana 4 field watatu ni waremb ila mmoja ni mrembo sana.

Sasa wakati wanafika nlikuwa safari kikazi kwa mwezi mzima hivo alikuwepo officemate wangu.

Jamaa mroho na yupo faster balaa nikakuta keshajimilikisha. Basi bwana nimekuja hivi mm nikawa cool kabisa sitaki kuonyesha dalili ya kuomba tuna kumbe wao wanajadiliana huko kweusi na oficemate wangu anajua.

Huyu mmoja alobakia havutii hata kidogo tu ila ananipenda sana and she is rotten to the core ni mdogo tu 18 to 20yrs, mm sivutiwi naye kabisa nampenda huyu mrembo kuliko wote jamaa hajala na dem kamkazia baada ya mm kuja ss jamaa kuona hivo akaomba mwenzao mmoja na keshagonga.

Sasa nimeamua kuwakaushia wote kwani namhurumia endapo nitamchukua huyu mzuri kuliko wote huyu anayenipenda nitamuumiza sana na kwakweli namhurumia kwani ana-declare kabisa ananipenda hadharani
Wewe ni jinsia gani wanaume wa hivi mbona hatupo na ikiwa wewe ni mwanaume upo under 25 tena hopeless.
 
Hapk wazazi wa hao mabinti wanashukuru Mungu watoto kupata field...😥😥
 
Ussenge huu unaleta Uzi Happ wa umalYa Sasa kwa taarifa yako mnapo wapanda hao wanafunz wa field mnajitakia majanga tu na nzluhakikshia huo unyama unaofanya utapotea hyo kaz
 
Habarini wanajamvi

Aisee ofisini kwangu wamekuja waschana 4 field watatu ni waremb ila mmoja ni mrembo sana.

Sasa wakati wanafika nlikuwa safari kikazi kwa mwezi mzima hivo alikuwepo officemate wangu.

Jamaa mroho na yupo faster balaa nikakuta keshajimilikisha. Basi bwana nimekuja hivi mm nikawa cool kabisa sitaki kuonyesha dalili ya kuomba tuna kumbe wao wanajadiliana huko kweusi na oficemate wangu anajua.

Huyu mmoja alobakia havutii hata kidogo tu ila ananipenda sana and she is rotten to the core ni mdogo tu 18 to 20yrs, mm sivutiwi naye kabisa nampenda huyu mrembo kuliko wote jamaa hajala na dem kamkazia baada ya mm kuja ss jamaa kuona hivo akaomba mwenzao mmoja na keshagonga.

Sasa nimeamua kuwakaushia wote kwani namhurumia endapo nitamchukua huyu mzuri kuliko wote huyu anayenipenda nitamuumiza sana na kwakweli namhurumia kwani ana-declare kabisa ananipenda hadharani
Ataumia kwa kukukosa na si kwa kumchukua mwenzie... Yaani hata usipomgonga mwenzie, kama humchukui yeye maana yake anaumia
 
Kijana nahitaji FULL ADDRESS yako nikusaidie kitu.

Eeeh nikushughulikie maana hufai kuwepo hapo ulipo, ninyi ndio mlifanya vyeti feki waonekane hawastahiki kukaa maofisini kwakukosa vigezo vya kielimu kumbe wasomi mliopo hamna maana wala hamna tofaut na wahuni wa huku mitaani,

Na kumbe kuna panya mlibaki na hamkidhi vigezo vya kubaki humo maofisini.

Nawaurumia sana watoto wako kwa kuwa na mzaz wa hovyo, unawaaibisha wafanyakazi wenzio pamoja na wanaume kiujumla hufai kuwa wa mfano.

Jf kila siku inazidi kupoteza umaana wake sababu ya hawa wapuuzi wanaovaamia humu.

Oya achia iyo ofisi kabla sjakushughurikia kitradition[emoji41]..
Wewe ni nani kwanza, una tittle gani uwe na uwezo wa kunishughilikia mm.
 
Nyie ndo mnafanya vijana wenzenu wakose nafasi za kazi maofisini! Fanya kazi kijana, achana na "warembo"
 
Dhambi nyingine muwe mnazificha huenda peponi huko tukakutetea.

Sasa kulikua na ulazima gani wa kuleta huu uzi.
 
jamani huyu binti karudi kwa speed kubwa sana yaan kanatia huruma sijui hata namba yangu aliiipata wapi anapambana balaa
 
nitaleta screenshot hapa, nataman tu nimpe ila wasiwasi wangu atabeba mimba
 
Back
Top Bottom