Nami leo nafunguka kutafuta rafiki wa kike, ambaye hatimaye atakuwa mke

Nami leo nafunguka kutafuta rafiki wa kike, ambaye hatimaye atakuwa mke

"Awe hajawahi kuachana na mpenzi wakew kwa kufumaniwa " naona hii umeisahau.....

Tabia njema, nadhani inaingia hapo. Mambo kama hayo ya kungonoka ni tabia chafu
 
vingezo vyote ninavyo.ila nimgen jf so siwezi kukupm.nipm na contants zako.kama tunaweza faana
 
Si uanzishe thread ya kumsalimia? Mnaanza kuharibu mtiririko wa mtu anayetafuta mwenza kwa salaam zenu!

Afadhali umewaambia MESTOD, The Boss ni kawaida yake hachelewa kupotosha uelekeo wa thread za watu!
 
mnh wanaume picky kama huyu wanakuwaga na gubu sana,umejitokea zako mbali huko umechoka,unalikuta limenuna tu bila sababu....:thinking::bump::hand:😛ray::A S 13:

Linanuna hadi linanuka mdomo
 
Back
Top Bottom