"Awe hajawahi kuachana na mpenzi wakew kwa kufumaniwa " naona hii umeisahau.....
ulipotea Neema..
mzimaa?
Si uanzishe thread ya kumsalimia? Mnaanza kuharibu mtiririko wa mtu anayetafuta mwenza kwa salaam zenu!
vingezo vyote ninavyo.ila nimgen jf so siwezi kukupm.nipm na contants zako.kama tunaweza faana
Mtoto wa lusinde anakufaa
mnh wanaume picky kama huyu wanakuwaga na gubu sana,umejitokea zako mbali huko umechoka,unalikuta limenuna tu bila sababu....:thinking::bump::hand:😛ray::A S 13:
Linanuna hadi linanuka mdomo
]Linanuna hadi linanuka mdomo