Nami pia mgeni naomba mnipokee

Nami pia mgeni naomba mnipokee

Hauna hata kapicha tukuone mkuu paskalina? Ingenoga zaidi
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimefurahi kujiunga leo na jf nilikuwa natamani sikumoja nami nichangie mada, hatimae imekua.
RUDI BAADAYE BWANA HATUTAKI WAGENI
 
O0ooooh! mkuu paskalina pita ndani bwana, nilidhani yule mgeni aneye fanya timing ya chai asubuhi....umekuja na kuku mkuu? au shuka make mashuka hatuna.vinginevyo utajifunika ngumi. na mbu wa dar. DU uu uu! uuhe!
huhuhuuuuu, mkuu nimefungasha zawadi hatari, nini kuku, mpaka kitanda nimebeba, hahaaaaa!
 
Back
Top Bottom