Hahahaha! Ndoani hiyo shaauri yako!hahaha nimevutika tu na maneno yake
Kama unauhitaji jijaribie bahati yakohahaa ndo maana nakaa kimyaa
Mfuate chumbaniNipo tayari.Mashairi tu yalivyopangiliwa vina na mizani yamenikosha roho.Potelea mbali hata kama huna mapenzi utakuwa unaniimbia nyimbo naburudika.Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unauhitaji jijaribie bahati yako
Nipo tayari.Mashairi tu yalivyopangiliwa vina na mizani yamenikosha roho.Potelea mbali hata kama huna mapenzi utakuwa unaniimbia nyimbo naburudika.Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe ni wa tofauti I seeah wapi !nimeridhika na shida zangu
inawezekana ,,,!!!! ila. weeeee ogopa sana ,, hiyo weka mbali na watoto,,, unaweza ukajikuta umeingia mkenge. ukajuta kuzaliwaKabsa shost ukiweza unajaribu bahati yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe ni wa tofauti I see
Usiingie miguu yote peleka mmoja kwanza halafu unasikiliziainawezekana ,,,!!!! ila. weeeee ogopa sana ,, hiyo weka mbali na watoto,,, unaweza ukajikuta umeingia mkenge. ukajuta kuzaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuuKuwa na subira
Hongera kwa hiloteh ! napamba na hali yangu !wewe je hujavutika hapo
hahahha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] weee neema ww,, ni hatariiiii ,,, ila namimi tu mistari imenikosha balaaNipo tayari.Mashairi tu yalivyopangiliwa vina na mizani yamenikosha roho.Potelea mbali hata kama huna mapenzi utakuwa unaniimbia nyimbo naburudika.Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukadhani ni mzaha lkn mm namaanisha nahitaji kweli ninashauku ya kunitosha...njoo pm tuyajengemmmmmmhhhhhh ,,,, mna maneno mazuri sana pale mnapotaka kitu,,, lakini sekunde mbili mbeleee,,, muombe mungu akupe wasaizi yako ,, hilo ndo lamsingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
poa mkuuNjoo pm
[emoji3] [emoji3] [emoji3] anza ww kwanza bwanaUsiingie miguu yote peleka mmoja kwanza halafu unasikilizia