Neema njoo pm tuyajengeNipo tayari.Mashairi tu yalivyopangiliwa vina na mizani yamenikosha roho.Potelea mbali hata kama huna mapenzi utakuwa unaniimbia nyimbo naburudika.Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unajitisha mwenyeweinawezekana ,,,!!!! ila. weeeee ogopa sana ,, hiyo weka mbali na watoto,,, unaweza ukajikuta umeingia mkenge. ukajuta kuzaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
nitajaribu nioneHuwezi mjua mwema au mmbaya bila kujaribu ...try me plz
Namimi huwa sipendi uongo ntasimamia ukweli aliye wangu ataniamini tuMkuu hawa viumbe wanapenda kuongopewa lakini unapokuja na kauli zako za ukweli, hupati mtu utanipa mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissa mm tayari ninaye mtu isingekuwa hivyo ningajaribu
Unamwandiko mzuriNipo tayari.Mashairi tu yalivyopangiliwa vina na mizani yamenikosha roho.Potelea mbali hata kama huna mapenzi utakuwa unaniimbia nyimbo naburudika.Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Xubil mda ufike utarud hom kufanya ulilokuxudia