Jaman hzo steshen sehem zingne hazikamati hizo frequency ni mkoa ulipo ww huku tofaut ungetutajia hicho ni kituo gan au redio gan?
Huwa napenda kusikiliza hii Radio kila siku asubuhi wakati najiandaa kwa ajili ya siku yangu. Kuna mtangazaji wa radio hii anaitwa Kibwana Dachi, ni mzuri sana. Ana analysis kali na uelewa mpana sana wa mambo. Nadhan uia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu anasomea mambo ya habari. Nampa big up sana, na Lecturers wake pia. Huyu anaelekea atakuja kuwa kama Jenerali Ulimwengu. Uelewa wake wa mambo uko juu mno. Ananifurahisha sana hasa akianza kuchambua issue za msingi. Nampa hongera sana!
Sina uhakika zaidi, nadhani ni Times FM au Clouds FM. Kuna vijana watatu watangazaji prominent, wawili wao ni Mary Edward na Ernst Kawawa akama sikosei. Ni wazuri sana kwa ujumla!
Sina uhakika zaidi, nadhani ni Times FM au Clouds FM. Kuna vijana watatu watangazaji prominent, wawili wao ni Mary Edward na Ernst Kawawa akama sikosei. Ni wazuri sana kwa ujumla!
Huwa napenda kusikiliza hii Radio kila siku asubuhi wakati najiandaa kwa ajili ya siku yangu. Kuna mtangazaji wa radio hii anaitwa Kibwana Dachi, ni mzuri sana. Ana analysis kali na uelewa mpana sana wa mambo. Nadhan uia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu anasomea mambo ya habari. Nampa big up sana, na Lecturers wake pia. Huyu anaelekea atakuja kuwa kama Jenerali Ulimwengu. Uelewa wake wa mambo uko juu mno. Ananifurahisha sana hasa akianza kuchambua issue za msingi. Nampa hongera sana!
Kama una dish lile intelsat na unakamata chanel ten lazima uipate hata kama uko bush kikubwa ni kuset freguency za radia magic fm.Jaman hzo steshen sehem zingne hazikamati hizo frequency ni mkoa ulipo ww huku tofaut ungetutajia hicho ni kituo gan au redio gan?
sio hizo redio ulizo zitaja hapo juu ndugu hao wanatangaza kipindi cha asubuhi kupitia Magic Fm, badae Kibwana anaingia katika zaidi ya Habari ndo ana anza kuchambua mada husikaSina uhakika zaidi, nadhani ni Times FM au Clouds FM. Kuna vijana watatu watangazaji prominent, wawili wao ni Mary Edward na Ernst Kawawa akama sikosei. Ni wazuri sana kwa ujumla!
halafu wanampa muda mfupi sana kuchambua habari,huyu wenyewe wanamuita "GOOGLE"Huwa napenda kusikiliza hii Radio kila siku asubuhi wakati najiandaa kwa ajili ya siku yangu. Kuna mtangazaji wa radio hii anaitwa Kibwana Dachi, ni mzuri sana. Ana analysis kali na uelewa mpana sana wa mambo.
Nadhan uia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu anasomea mambo ya habari. Nampa big up sana, na Lecturers wake pia. Huyu anaelekea atakuja kuwa kama Jenerali Ulimwengu. Uelewa wake wa mambo uko juu mno. Ananifurahisha sana hasa akianza kuchambua issue za msingi. Nampa hongera sana!
Ni kweli kabisa Kibwana yuko vizuri sana kichwani!