Kuna kitabu fulani cha fasihi ya kiswahili kinaitwa "Usiku utakapokwisha......"Tatizo la watawala ni kuogopa kukosolewa na kuwajaza elimu ya kujitambua wananchi.
Watawala wanahofu kubwa sana siku wananchi wakijua haki zao basi ccm ndiyo itakuwa kwaheri
Kwahiyo kumbe sio ugaidi bali makongamano [emoji1]Kumbuka kuwa Mama alipoingia tu madarakani aliwapa Uhuru wafanye mambo yao kilichotokea uliona
Mdude akasema atamnyoa mama kama alivyomnyoa Magu
Mbowe akawa anaandaa makongamano na maandamano nchi nzima yasio na kikomo hadi katiba mpya ipatikane
Waache wale jeuri yao
Wewe akili ndogo kweli. Uwezo huo anao tena mkubwa kuliko unavyofikiri. Anao uwezo hata wa kuwafutia makosa wafungwaKumbuka samia hana mamlaka ya kushitaki au kufuta shtaka
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Aisee Omitontozi umenena kama nilivyokuwa nafikiria. Hapo mama ameingizwa chaka bila kujua. Ni bora ashtuke mapema!Rais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Hata Mimi hapo kwa Mbowe inanipotezea mahaba kwa mamaToka ameingia ametangaza ajira kibao taasasi mbalimbali au haupo nchi hii!!? Ila nachotaka na kutamani ni amwachie
Mbowe sio mhalifu hata kidogo aache kumtesa
Habari snRais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Hawaii shitukaAisee Omitontozi umenena kama nilivyokuwa nafikiria. Hapo mama ameingizwa chaka bila kujua. Ni bora ashtuke mapema!
kwa hiyo mkuu kama maza akimwabia DPP wake kwamba kesi ifutwe basi utakuwa huna tatizo naye jengine? kama ni hivyo basi utakuwa umekosea sana maana kinachofanya Mbowe ashikiliwe si Ugaidi bali ni madai yake ya Katiba mpya, anaisumbua Dola isitawale kwa kupumua na anawachochea wananchi wasifanye maendeleo badala yake waanze vilinge vya kudai katiba mpya.Rais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Dogo umechafukwaneh😁😁😁😁Sasa kama unampendea sura yake si uende ukanywe naye chai , kama alivyoshauri Nyerere !
Mama hafai kote kote.Ukiacha la Mbowe unampendea Tozo au mgao wa maji na umeme ?
Sio wewe tu. Yaani watanzania wote wapenda haki na amani wamemdharau. Imegundulika kumbe hayuko tayari kubadilika.Rais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Kuwaachia uamsho waliosingiziwa ugaidi wakakaa miaka 8 bila ushahidi kupatikanaNi Mazuri Gani Anayofanya Samia?
Katiba muhimu sana asante kwa elimukwa hiyo mkuu kama maza akimwabia DPP wake kwamba kesi ifutwe basi utakuwa huna tatizo naye jengine? kama ni hivyo basi utakuwa umekosea sana maana kinachofanya Mbowe ashikiliwe si Ugaidi bali ni madai yake ya Katiba mpya, anaisumbua Dola isitawale kwa kupumua na anawachochea wananchi wasifanye maendeleo badala yake waanze vilinge vya kudai katiba mpya.
Je ndugu huna mashaka na katiba iliyopo sasa ? kwamba haiendani na wakati uliopo? kwamba inashindwa ku-balance kati ya Watawala, watawaliwa na watunga sheria na watoa haki? kwa maana hiyo watawala wanapoka madaraka mengi maana katiba haipo specific? unaonaje madaraka ya Rais?
Rubbish.Rais Samia binafsi nampenda lakini kila nikifikiria swala la Mbowe furaha yangu yote dhidi yake inapotea. Nifanyeje mimi Samia nampenda na Mbowe nampenda.
Samia ananipa wakati mgumu, kupinga utawala wake nashindwa maana mazuri mengi anafanya lakini swala la Mbowe anachemka tena vibaya sana, akumbuke wana ccm ni wanafiki, watu pekee waliompa moyo wa kuongoza nchi baada ya kiapo ni wanachadema wakiwa na usemi wao *MAMA ANAUPIGA MWINGI" Huku ccm wengi wakipiga vifua na kusema mwanamke hawezi kuongoza nchi.
Mpendwa Samia hutendi haki kwa Mbowe, tumia mazungumzo na wapinzani usitumie magereza kuwatesa.
Nimefika mkoani Tabora tangu jumatano, mgao wa umeme ukiwatesa wananchi. Joto kali na ac haiwaki, hakuna umeme. Tangu jumapili mpaka leo umeme haujakatika, na msongo wa mawazo umepunguza. Najiuliza, huu umeme umetoka wapi? Kilikuwa kinatikiswa kibiriti?Ukiacha la Mbowe unampendea Tozo au mgao wa maji na umeme ?
Marejeo ya kinacho endelea mahakamani, kama repoti ya mashahidi wa serikali zinafika bila kurekebishwa, ni bora zisiletwe. Zimejaa ulaghai wa wazi.Binafsi nampenda lkn swala la Mbowe linaninyima furaha
Tunategemea kupata ufumbuzi wa matatizo yetu toka kwao watendaji walio yaanzisha, wakatimuliwa na kisha kurejeshwa kundini.Sawa hasingiziwi sasa nani wakuhakikisha na kuratibu ugawaji wa huduma muhimu za kijamii?
Nani mwenye uwezo wa kuwawajibisha mawaziri kama wasimamizi wakuu wa wizara mbalimbali zinazosimamia nakuhakikisha maisha ya mtanzania yanaboreshwa na nchi inastawi kiuchumi?
Ukiyajua haya, hutashangaa kwanini kelele zote zinaelekezwa kwake kama raia namba moja.
Hizo ni ngonjera tu. Uhalisia ni tofauti. Km vituo vya afya na zahanati vina uhaba mkubwa wa watumishi.Anatapakaza madarasa,zahati,Vituo vya afya,barabara za vijijini,muswada bima ya afya kwa wote unaenda kuwasilishwa na mengine mengi,,,Kibaya ni kumfunga mzee Mbowe