mama yakoKuna watu wasenge kweli
Humu if inabidi tutumie kigezo cha umri kusajiliwa maana kuna form 3 humu na timu zao hats uweke wazo LA kibusara na kuelimisha utapata majibu Kama hayo yakoKama wewe unavyofanya biashara ya kufuatilia maisha ya wcb
Mkuu nafikiri lengo la kusaga ni kutumia kila silaha aliyonayo kumshusha Diamond. Kuna mahali kashikwa pabaya, na ujio Wa WCB radio ni mwiba kwa clouds. Nahisi hapo ndio kwenye ugomvi.Kusaga umefeli hivi Diamond hawezi kumshitaki Kusaga kwa ku expose mikataba yake ya kibiashara
Jinsia yako plz?Humu if inabidi tutumie kigezo cha umri kusajiliwa maana kuna form 3 humu na timu zao hats uweke wazo LA kibusara na kuelimisha utapata majibu Kama hayo yako
Duuh kweli wabongo tupo chini sana ktk kupambanua na kufikiria mambo.Unalipa wapi Mwanamuziki mpaka atufurahishe tumpe hela ni sawa na changudoa tu
Hawezi mkuu, kwa sababu mkataba haujawa 'breached ' ila kusaga ange breach labda dai ndo angeweza kudai remidiers na pia kuna aina za kuvunja mikataba lkn hapo haijaonekan hata moja, ila kuna mchangiaji kasema lzm unapoingia mkataba kuwe na confediality 'ya kutoruhusu ku expose contract termsKusaga umefeli hivi Diamond hawezi kumshitaki Kusaga kwa ku expose mikataba yake ya kibiashara
Kamakujulikana nawatoto alijulikana Mr nice leoyukowapWatoto wadogo kama wewe?
Hapa tunaongea vitu oversize kwako ni vema ukatafute mijadala ya team.
Wcb ni brand kubwa kibiashara ikuumize au ikupendeze, ndio maana watu wote wanaitolea macho ikiwemo wewe.
usibabaishwe na watu bifu ni baina ya Kusaga na makondaKama ni hivyo basi hao WCB ni vichwamaji
wanagombana na Ruge badala ya Kusaga...
diamond kashakua mkubwa sana kumshusha haiwezekani....labda cloiuds wawashushe akina aslayniwe muwazi tu mimi sio shabiki wa diamond kabisaaa...ijapokuwa navutiwa na utafutaji wake na jinsi anavyopamabana na maisha ..kutokuwa shabiki wake haimaanish kuwa hajui kuimba hapana
huyu Jamaa mimi siwezi kuwa shabiki wake kwaajili ya life style yake nimtu wakupnda masifa mnooo ..ngono nisehemu ya vipaumbele vyake basii awe anafnya hata kwastaha wapiii yaani kila mtu mpaka ajue tabia zake chafu ..yeye na kundi lake lote..Malaya Malaya tu ..masifa yaliyovuka mipaka..sometimes vitu sio vyao Mara wnasema vyao..Mara cjui Nina fnya myimbo na rihana cjui French Montana kumbe sound ..yaani hilo tu ndio linalonikera ..na nyinyi mashabiki wa diamond mkae mkijua kuwa clouds wanamchngo mkubwa mnoo uliochangia kumfikisha huyo Jamaa yenu hapo alipo so hawapaswi kubezwa hata chembe ...
tatizo lililopo ni ukosefu wa nidhmu kwa hao wcb naona CFA zimewazidi kimo na sasa wanatka kumpnda kichwani kila mtu .
yaani kinyago walichokichonga kina luge leo kinataka kuwatisha wao wenyew ..
ngoja tuone aisee
Hata mimi nimeona haikuwa busara na wao ndiyo watapata hasara kwa maana kuna watu wengi walikuwa wakinunua hizo karanga kisa tu wanadhani ni bidhaa ya Diamond ni siyo kwamba labda wanazipenda sana.Joseph Kusaga mmliki wa Clouds media ndio mtu anayeni inspaya kwa biashara zake haswa upande wa media.
Ni ndoto yangu kufikia mafanikio kama yake.
Ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi.
Lakini niwe mkweli ameniangusha sana kwa kitendo cha kampuni yake kuingiza migogoro yao ya kibiashara na Diamond Platnumz kwenye biashara.
Kufanya biashara na mtu ambaye mkitofautiana au kupishana kauli basi anatumia media zake kukuadhibu na mbaya zaidi anaenda kuvujisha mikataba yenu ya kibiashara kwenye media zake ni risk kubwa.
Brother Jo hakika umeteleza jisahihishe, mambo ya kutofautiana kati ya washirika wa kibiashara ni ya kawaida ila yasiende mpaka kuharibu biashara zenyewe.
Okay kwa mfano mmeshaujulisha umma kwamba Diamond karanga ni za Clouds kupitia kusaga ila diamond ni mjinga tu kufungamanisha brand yake na hizo karanga....mnafikiri mnamkomesha diamond? tunaambiwa na watangazaji wako ata chibu perfume ni ya kusaga so diamond ni mpumbavu kuweka brand yake ya chibu kwenye hizo perfume.
Sawa sisi tulitoa sapoti kwenye hizo bidhaa sababu ya kumpa nguvu diamond kijana mwenzetu toka uswazi ila matokeo yake mnatumia hayo makubaliano kumuadhibu msanii wetu tunaemkubali msanii wa mfano tokea tupate uhuru.
Kusaga umetuangusha sana tunaokukubali haya mambo unayapeleka very unprofessional.
Hizi biashara za namna hii wamefanya kina jordan na nike , g unit wamefanya na adidas, christan ronaldo na CR7nk nk nk lakini ata wakitofautiana wanamaliza mambo yao kistaarabu kama watu wanaoheshimu biashara na makubaliano ya mikataba...
Leo hii jordan hayupo tena na nike na anafanya vizuri...siku diamond akikaa kando na hizo karanga au akafanya kwa namna nyingine mnafikiri haitawaumiza kibiashara?
Yangu ni hayo tu!
Kukusaidia tu ni Kwamba Diamond Karanga as a Brand, Ilikuwepo Tangia zamani, So Usitegemee itashuka. Tatizo kubwa Ambalo unakwepa kulizungumzia hapa, ni Huyo Dogo kua na Managers Wabovu Kuwahi kutokea. Wao wanaangalia Maslahi yao tu Bila kuona kwamba Diamond anahitaji kua zaidi ya Brand.Joseph Kusaga mmliki wa Clouds media ndio mtu anayeni inspaya kwa biashara zake haswa upande wa media.
Ni ndoto yangu kufikia mafanikio kama yake.
Ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi.
Lakini niwe mkweli ameniangusha sana kwa kitendo cha kampuni yake kuingiza migogoro yao ya kibiashara na Diamond Platnumz kwenye biashara.
Kufanya biashara na mtu ambaye mkitofautiana au kupishana kauli basi anatumia media zake kukuadhibu na mbaya zaidi anaenda kuvujisha mikataba yenu ya kibiashara kwenye media zake ni risk kubwa.
Brother Jo hakika umeteleza jisahihishe, mambo ya kutofautiana kati ya washirika wa kibiashara ni ya kawaida ila yasiende mpaka kuharibu biashara zenyewe.
Okay kwa mfano mmeshaujulisha umma kwamba Diamond karanga ni za Clouds kupitia kusaga ila diamond ni mjinga tu kufungamanisha brand yake na hizo karanga....mnafikiri mnamkomesha diamond? tunaambiwa na watangazaji wako ata chibu perfume ni ya kusaga so diamond ni mpumbavu kuweka brand yake ya chibu kwenye hizo perfume.
Sawa sisi tulitoa sapoti kwenye hizo bidhaa sababu ya kumpa nguvu diamond kijana mwenzetu toka uswazi ila matokeo yake mnatumia hayo makubaliano kumuadhibu msanii wetu tunaemkubali msanii wa mfano tokea tupate uhuru.
Kusaga umetuangusha sana tunaokukubali haya mambo unayapeleka very unprofessional.
Hizi biashara za namna hii wamefanya kina jordan na nike , g unit wamefanya na adidas, christan ronaldo na CR7nk nk nk lakini ata wakitofautiana wanamaliza mambo yao kistaarabu kama watu wanaoheshimu biashara na makubaliano ya mikataba...
Leo hii jordan hayupo tena na nike na anafanya vizuri...siku diamond akikaa kando na hizo karanga au akafanya kwa namna nyingine mnafikiri haitawaumiza kibiashara?
Yangu ni hayo tu!