Hao wengine ni wapi waliofanikiwa na kubaki juu kwa muda mrefu? Don’t hate mtu akitumia tricks tofauti na kuendelea kufanikiwa. “Hawapendi kujifanya” ila wamejitahidi kurekebisha makosa ya wengi wanayofanya kutoa wimbo mmoja halafu huwasikii tena. Acheni chuki za kijinga, so furaha yenu washuke ndo muone hawajifanyi?