Namkubali sana Mamybeib wa XXL Clouds Fm, natamani kumfahamu

Hilo domo mwananguu kama bakuli la supu afu hakunji chapati kama d'mond yaani.
 
Maneno mengi ila me nilichoelewa unahisi ana nanii kubwaaa kwa sababu 2 hapo na unahisi anakoroma sanaaa
 
Nilishawahi kumpenda Diva the Boss wa ala za roho clouds fm kwasababu ya sauti yake,mtoto sauti lainiiiii chapati za maji zinasubiri, akiongea sasa chaputa hawa hapa, nlivyokuja kumuona jinsi alivyo, bayaaaaaaa yani akikuangalia moyoni unahisi ghala za nyuklia zinangoja ruhusa ya vidole vya Trump.
 
Mkuu Ma ndingo
Pole Sana Hiyo Comment Yako ? Ama ID Yako Imedukuliwa
 
Ila diva anavyojiona ni mzur loh simpend huyo dada sasa huko insta amegundua mchezo wa kujichukua hovyo video loh hana lolote kiuno kigumu ila anajiona
 
Hahaaaaaaa daahhh asiee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…