Namkubali sana Muigizaji Mwijaku, ila kwa haya aliyoyasema nitamkatalia hadi pumzi yangu ya mwisho duniani

Nafikiri ungekua unamfahamu huyo Mwijaku vizuri na matatizo aliyowasababishia baadhi ya watu usingekua unamtetea hapa!

By the way tufanye nimemaliza hasira zangu kwa leo!

Jioni njema Mkuu!

Sawa Kiongozi.
 
Nafikiri ungekua unamfahamu huyo Mwijaku vizuri na matatizo aliyowasababishia baadhi ya watu usingekua unamtetea hapa!

By the way tufanye nimemaliza hasira zangu kwa leo!

Jioni njema Mkuu!
huyo mwijaku jina lake lingine Mwemba,, ana mauchafu mengi, ila ngojea wengine tunyamaze tusiyaanike, baba yake ni msomi mzuri kiasi na shekhee
 
uyo mujaku anakaa wapi ni nani?
 
Hili jamaa ni boya TZ nzima sijawahi likubali hata kidogo.
 

hata mke wangu hana kasoro,

upendo unaficha Asione kasoro

mbona logic yake rahisi
 
haina shida demu wake night tunakuwa naye guest 50K
 
huyo mwijaku jina lake lingine Mwemba,, ana mauchafu mengi, ila ngojea wengine tunyamaze tusiyaanike, baba yake ni msomi mzuri kiasi na shekhee
Upo sahihi kabisa Mkuu,anaitwa Burton Mwemba,Mzee wake ni Shekhe Morogoro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…