Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #21
King...Mzee Said Ebu Msikilize OTIS REDDINGs Kwnye NEw SchOOl.
Jackline,Dar ina wenyewe,Library ilikuwa mtaa wa Mkwepu????sehemu ipi kwenye huu mtaa??
Mzee Said Ebu Msikilize OTIS REDDINGs Kwnye NEw SchOOl.
JOINT NZURI SANA HATA SIE NEW SCHOOL TUNAIELEWA.
heshima kwako mkuu.Mitale,
Ahsante sana lakini mimi nimemsoma Martin Luther King 1960s.
Mitale,heshima kwako mkuu.
usisite kutupa madini kadili unavyopata nafasi, maana watu kama nyie kuwepo huku ni hazina.
Sheikh Kajembe...Safi mzee... Napata mengi toka kwako
Nilishindwa kwa hiyo sikuweza kuiwakilisha St. Joseph’s Convent katika English Elocution.
Kwa nini nilishindwa?
Wenzangu walikuwa wanasema Kiingereza kwa ‘’accent,’’ nzuri ya Kiingereza. Mimi Mswahili wa Kariakoo ‘’accent,’’ yangu ndiyo iliyonifanya nishindwe.