..I agree with you.
..lakini umewahi kujiuliza ni chaguzi ngapi hapa Afrika zinafanyika bila dhuluma, manyanyaso, na wizi?
..kwa mfano, uchaguzi wetu wa 2020. CCM walikuwa na kila sababu na uwezo wa kushinda, sasa kilichowapelekea kufanya waliyofanya ni nini?
..hivi uchaguzi gani wa Kidemokrasia huwa mgombea mmoja anakuwa na mabango nchi nzima, na kutangazwa na vyombo vyote vya habari, huku wagombea wengine wakiwa gizani?
..Wakati mwingine huwa nashangaa iliwezekana vipi uchaguzi wa namna ile ukafanyika Tanzania.