Namkumbuka: Juma "Babu" Duni Haji 1995

Mungu alitoa majibu wakati sahihi Mwendazake alikuwa anaenda kuiharibu Tanzania toka nimeanza kushuudia chaguzi katika nchi hii sijawai kuona chaguzi mbaya kama ya 2020 Mambo ambayo yalitakiwa kufanyika uchaguzi WA Kwanza kwenye nchi hii 1995 yalikuja kufanyika 2020 nchi ilirudi kwenye ukabila na jamii flani flani kuchukiwa bila sabbsu ya msingi na kuitwa wasaliti nchi ilikuwa ya kipropaganda kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…