sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
-Huyu strika tishio kwa mabeki wale visiki alizaliwa miaka 25 iliyopita, nchini Burundi.. a.k.a yake ni Tormentor.
-Mwaka 2011 kocha wa Police FC ya Rwanda, "Mtalamu" Goran Kopunovic aligundua kipaji cha ajabu cha huyu kijana na kuamua kumsajili.. akiwa na miaka 21 tu!
-Msimu wa kwanza tu, alifunga goli 12 [maajabu yaliyoje!!] na timu yake ikakamata nafasi ya 2 katka ligi kuu nyuma ya APR.
-Kutokana na kuonesha kiwango kikubwa saana.. akawa bidhaa adimu nchini Rwanda.. Hii ilisababisha apite katika timu kama AS Kigali na Kiyovu FC.
-Mwaka 2014 matajiri wa Burundi [Vital'O] walipata habari zake, nao wakapanda dau na kumsajili.. Katika msimu wake wa kwanza tu alitupia goli 29 katka mechi 28 [what a player?!] na kuiewezesha kuchukua ubingwa wa ligi.
-Baada ya ligi kuisha, Simba SC nayo imempandia dau ili aitumikie kwa misimu miwili ijayo.. Hii ni kutokana na shughuli yake uwanjani.
Maoni Yangu: "Baada ya kupita miaka mingi tukisubiri striker wa maana.. hatimae amefika, naye ni Laudit Mavugo."
- sembo
-Mwaka 2011 kocha wa Police FC ya Rwanda, "Mtalamu" Goran Kopunovic aligundua kipaji cha ajabu cha huyu kijana na kuamua kumsajili.. akiwa na miaka 21 tu!
-Msimu wa kwanza tu, alifunga goli 12 [maajabu yaliyoje!!] na timu yake ikakamata nafasi ya 2 katka ligi kuu nyuma ya APR.
-Kutokana na kuonesha kiwango kikubwa saana.. akawa bidhaa adimu nchini Rwanda.. Hii ilisababisha apite katika timu kama AS Kigali na Kiyovu FC.
-Mwaka 2014 matajiri wa Burundi [Vital'O] walipata habari zake, nao wakapanda dau na kumsajili.. Katika msimu wake wa kwanza tu alitupia goli 29 katka mechi 28 [what a player?!] na kuiewezesha kuchukua ubingwa wa ligi.
-Baada ya ligi kuisha, Simba SC nayo imempandia dau ili aitumikie kwa misimu miwili ijayo.. Hii ni kutokana na shughuli yake uwanjani.
Maoni Yangu: "Baada ya kupita miaka mingi tukisubiri striker wa maana.. hatimae amefika, naye ni Laudit Mavugo."
- sembo
Last edited by a moderator: