Namna Gani Mna MENTION members kwenye post??

kaeso

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
548
Reaction score
97
Hi!
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Naombeni elimu kidogo namna ya ku-mention member kwenye post, mimi nashindwa lakini naona wenzangu mnaweza. Mnafanyaje??
 
yaani unaanza kuweka @ ikifuatiwa na id ya mtu bila kuacha nafasi katikati ya @ na id ya mtu. mfano; kaeso
 
Last edited by a moderator:
Asante Preta. Hata mimi nilikuwa sielewi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…