Namna Gani Mna MENTION members kwenye post??

Namna Gani Mna MENTION members kwenye post??

unaweka alama ya @ sambamba na jina la member....umeelewa sasa....?

Shem na mie nifundishe, ngoja nijaribu Preta Mbona iko too simple ? Alafu haka kamtindo siku zote kalikuaga wapi ?
Mi nimekaona kamenoga si muda mrefu.
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahi sana kama wewe kaeso, Katavi na Preta mmeelewa hii ki2 manake ilinilazimu nifanye maombi kwa nguvu sana ili muelewe sababu ingelikuwa ni aibu si kwenu tu bali kwa Taifa nzima kwa watu ambao wanajiita ni magreat thinkers kutoelewa kitu kidogo kama hiki. Bwana awatie nguvu na awazidishie uelewa zaidi!
hahahahaaah!!! Nami nimefurahi kugundua kuwa kumbe ni wengi mlikuwa hamjui hii kitu, hata wewe Visionmark.....siamini....
 
Last edited by a moderator:
kaeso nadhani utakuwa umeelewa sasa.

hii kiboko hadi "via mobile" inakubali!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom