hivi eeh....ngoja nikauchukue....
tatizo la Mlachake anaunguza sana akichoma......hajui kuchoma taratibu....
sharti la muhogo...uchomwe taratibu tena na moto mdogo.......
hebu nami niangalie kama nimeelewa!!@Pretasili....
nimenuna ujue...
hebu nami niangalie kama nimeelewa!!@preta
Hi!
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Naombeni elimu kidogo namna ya ku-mention member kwenye post, mimi nashindwa lakini naona wenzangu mnaweza. Mnafanyaje??
nichumia na woiyo! Teh teh teh tehnuchumia nawi....
tsi kuro nyi....
Asante mpenzi Preta nimekuelewa nami ilikuwa inanipa shida.