Namna gani naweza kuagiza vitu mtandaoni?

Leviz

Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
61
Reaction score
85
Wadau wa JF,

Naomba kupitia thread, watu mtupe elimu na watu wajifunze namna ya kuweka order, kulipia, na kusafirisha (shipping) bidhaa kutoka kwa manufacturer kwenda Dar kwa usalama zaidi.

Tafadhali tuweke ma consideration kwa mtu anayechukua pisi zaidi ya 10 kwenda juu kupitia Alibaba, eBay, World Trade, au yeyote kati ya hizo.

Na kila atakayerespond, naomba aeleze kwa kina tovuti anayolenga.
 
Jaribu kusearch nyuzi za nyuma mkuu Kisha ingia YouTube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…