Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Duka la Mangi...kuli manage ni upate Muuzaji muaminifu au ukae mwenyewe la sivyo maji utaita MmaNinauza vocha za simu,juisi za watoto,Mchele wa kupima,Katanga za kukaanga, mafuta ya kula,soda,mafuta ya kupaka,chumvi,sabuni yaani ni la mahitaji ya nyumbani!Ni kama duka-genge!
Orodhesha vitu vyote na bei zake za manunuzi mbele yake weka bei ya kuuza mbele Tena weka tofauti kati ya bei yakuuzia hii tofauti ya kati ya bei ya kuuza na kununullia Ndiyo inaitwa faida ya kuuza bidhaa ukiijumlisha yote itakuletea faida ya jumla ya kuuza, faida ya duka utaipata baada kutoa matumizi ya kilasiku kma hujaelewa ulizaHabari ya leo wanajf!Nina imani mko salama salimini!Ninaomba mnisaidie namna nzuri ya kuijua faida ya kwenye duka!Ninaomba mfikirie pia hali hii kuwa vitu ndani ya duka kila kimoja kina faida tofauti na kingine na huisha dukani tofauti na kingine.
Msaada tafadhali