Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
wadau nilichapisha kitabu kinachohusu pombe. kitabu hicho kina sura zifuatazo.
· AINA ZA POMBE
· JINSI POMBE INAVYOFANYA KAZI MWILINI
· HANGOVER NA MATIBABU YAKE
· FAIDA NA HASARA ZA POMBE
· UNYWAJI WA POMBE KIASI
· UNYWAJI WA POMBE WA KUPINDUKIA
· JINSI YA KUACHA POMBE
MUINGILIANO WA POMBE NA DAWA
nimekuja kugundua usambazaji ndiyo stage ngumu sana, wapi nitapata wanaohusika na usambazaji?. kakitabu kana page 60, kina lamination na karatasi nyeupe. kila kitabu nilichapisha Tsh1200 na ninampango wa kuuza Tsh3000 kila kimoja. nilianza kuchapa nakala 500 ila sasa zimebaki kama 300. vikiisha nategemea kuchapisha vingine. natanguliza shukrani.
· AINA ZA POMBE
· JINSI POMBE INAVYOFANYA KAZI MWILINI
· HANGOVER NA MATIBABU YAKE
· FAIDA NA HASARA ZA POMBE
· UNYWAJI WA POMBE KIASI
· UNYWAJI WA POMBE WA KUPINDUKIA
· JINSI YA KUACHA POMBE
MUINGILIANO WA POMBE NA DAWA
nimekuja kugundua usambazaji ndiyo stage ngumu sana, wapi nitapata wanaohusika na usambazaji?. kakitabu kana page 60, kina lamination na karatasi nyeupe. kila kitabu nilichapisha Tsh1200 na ninampango wa kuuza Tsh3000 kila kimoja. nilianza kuchapa nakala 500 ila sasa zimebaki kama 300. vikiisha nategemea kuchapisha vingine. natanguliza shukrani.