SUZANE
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 740
- 500
shalom!!
Assalam aleikum!
binafsi nimeshidwa kuelewa mzunguko wa siku zangu, kwa miezi 3 hii naombeni wataalam mnisaidie kwa kua kuuliza si ujinga.
mwezi wa nane niliona cku zangu tar 11-14, sept 14 - 18, Oct 22 - 25, before sikuwa narusha siku zangu namna hii, nilikua na tarehe moja tu lkn sielewi huu ni ugonjwa gani umenipata.
Swali
1. Je kwa hali hii naweza kujuaje cku yangu ya kupata mimba?
2. Nataka kushika mimba nifanyeje?
3. Hili ni tatizo? naombeni ushauri wenu wakuu...
Assalam aleikum!
binafsi nimeshidwa kuelewa mzunguko wa siku zangu, kwa miezi 3 hii naombeni wataalam mnisaidie kwa kua kuuliza si ujinga.
mwezi wa nane niliona cku zangu tar 11-14, sept 14 - 18, Oct 22 - 25, before sikuwa narusha siku zangu namna hii, nilikua na tarehe moja tu lkn sielewi huu ni ugonjwa gani umenipata.
Swali
1. Je kwa hali hii naweza kujuaje cku yangu ya kupata mimba?
2. Nataka kushika mimba nifanyeje?
3. Hili ni tatizo? naombeni ushauri wenu wakuu...