Namna jiji la Dar lilivyo wabadili watu

Namna jiji la Dar lilivyo wabadili watu

Kuna kijiwe flan maeneo ya temeke walikuwa wanakutana wanaouza kahawa na wale waaouza karanga kuandaa bidhaa.

Wakati hawa wanaandaa kashata na kuchemsha kahawa wengine wanachemsha karanga,sasa sikilizia kilugha kinavyogongwa hapo ni hatari.

Kwa mara ya kwanza ndio niliona namna kashata zinavyoandaliwa.
Hahaha..nachopenda kutoka watu wanaotoka katika jamii moja hapa dar ni kushirikiana kwao. Pale mabibo kuna wamasai wengi wengi sasa ukipita mida ya usiku kama hii pale nyuma cha chuo cha NIT utawakuta weeengi wamekaa kwenye majani chini ya miti wanajadili mambo yao.
Inavutia sana kuishi lwa namna hii.
 
Umesahau hapo kwa waha kuna kazi ingine wanaifanya mara baada ya kuuza urembo au vyombo ni kufungua maduka ya Vipodozi we ukifika kweny duka la Vipodozi huna haka ya kuulia 80% ni waha
Nashukuru kuongezea.

Halafu wanawatafuna sana wake za watu hasa ile mida yao ya kupitia madeni maana jamaa mda huo anakuwa anapigika kazini huku nyumbani Mha anajito.mbea kisa mwanamke kakopa chupa ya chai hivyo anamtunuku papuchi.
 
Wagogo ni ombaomba , hakuna kabila lenye ombaomba kama wagogo sijui wakoje hawa watu
Hivi wauza kahawa na karanga huwa wanawapa ndugu zao msaada kweli au ndio kila mtu anapambana na hali yake hapa dasalama?
 
Back
Top Bottom