Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Hahaha..nachopenda kutoka watu wanaotoka katika jamii moja hapa dar ni kushirikiana kwao. Pale mabibo kuna wamasai wengi wengi sasa ukipita mida ya usiku kama hii pale nyuma cha chuo cha NIT utawakuta weeengi wamekaa kwenye majani chini ya miti wanajadili mambo yao.Kuna kijiwe flan maeneo ya temeke walikuwa wanakutana wanaouza kahawa na wale waaouza karanga kuandaa bidhaa.
Wakati hawa wanaandaa kashata na kuchemsha kahawa wengine wanachemsha karanga,sasa sikilizia kilugha kinavyogongwa hapo ni hatari.
Kwa mara ya kwanza ndio niliona namna kashata zinavyoandaliwa.
Nakusukuma mkokoteni mkuu.Wasambaa u house boy na kuuza magenge. Connection ya kupata matunda wanayo
Nashukuru kuongezea.Umesahau hapo kwa waha kuna kazi ingine wanaifanya mara baada ya kuuza urembo au vyombo ni kufungua maduka ya Vipodozi we ukifika kweny duka la Vipodozi huna haka ya kuulia 80% ni waha
Nakusukuma mkokoteni mkuu.Wasambaa u house boy na kuuza magenge. Connection ya kupata matunda wanayo
[emoji1787][emoji1787][emoji848][emoji848]Kabla sijafanya hivyo niambie ni kabila gani wanaume wanapumuliwa?
Wanyantuzu sio kabila ni ukoo wa wasukumaBado sisi Wanyamwezi, Wasukuma na Wanyantuzu...