Namna mbalimbali za jinsi ya kutumia rice cooker

Safi...nami badae kdg ntaipikia mchemsho wa ndizi nyama,ngoja hang over ipungiue kdg
.ulikuja kufanikisha au ulighair

πŸ…ΌπŸ…ΈπŸ…»πŸ…ΈπŸ†ƒ[emoji742]πŸ†πŸ†ˆ πŸ…ΆπŸ…΄πŸ…½πŸ…ΈπŸ†„πŸ†‚
 
.ulikuja kufanikisha au ulighair

πŸ…ΌπŸ…ΈπŸ…»πŸ…ΈπŸ†ƒ[emoji742]πŸ†πŸ†ˆ πŸ…ΆπŸ…΄πŸ…½πŸ…ΈπŸ†„πŸ†‚
Nlifanikisha Mkuu...umetoka poa kabisa na nimebakisha kiporo...leo mchana namalizia,asubuhi nilidokoa finyango kadhaa nikashushia na kahawa..hapa niko swafiiiiπŸ˜€
 
Hivi hiyo ya kwenye picha ipoje?huwa siielewagi......ni umeme tu?effectiveness yake ikoje katika matumizi?
Hiyo kitu ni hatari sana,unainjika maharage yakiiva unaosha sufuria unaweka wali....
 
Livingstone wanauza vyombo vya mtumba?
 
Jaribuni kupikia makande tunaweza kugundua kitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We umenikumbusha mbali kuna wajamaa wa kigoma walikuwa wanakaa hosteli sasa kila wakianza kupka lazima umeme ujizime yani.

Yani walikuwa wanaingua balaaaa na rice cooker yao.

Hawakuwa na haya maarifa
 
eeeeehh..asanteeee
 
Yani umesema sawwa ilikuwa block D
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…