The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Hua namsikiliza sana Peter Msigwa na vichambo vyake dhidi ya CHADEMA sasa sijui tatizo ni ulimbukeni au ugeni au ushamba.
Nijuavyo mimi vyama vyote vina matatizo. Ila ndugu Msigwa anataka kutuaminisha kwamba kwa yeye kugombana na CHADEMA basi CHADEMA haina jema hata Moja.
Soma Pia:
Ila CCM ni paradiso kuna kila kitu jambo ambalo ni uongo wa mchana kabisa.
- Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?
- Mchungaji Msigwa: Kama nilivyoshambulia CCM, naishambulia CHADEMA kwa sababu ni waongo. Tumeandamanisha watu, wengine wamekufa!
Aache utoto akijenge chama chake
Mbowe anainajisi chadema. Msigwa asikilizwe.basi CHADEMA haina jema hata Moja.
1. Kwanini Mbowe hajawahi kujibu tuhuma zote?Mbowe anainajisi chadema. Msigwa asikilizwe.
Kinachosemwa na Msigwa kina ukweli 100% ndiyo maana Mbowe hana la kujibu1. Kwanini Mbowe hajawahi kujibu tuhuma zote?
Halafu,tukisema "long people" hawana akili mnatulaumu.Hua namsikiliza sana Peter Msigwa na vichambo vyake dhidi ya CHADEMA sasa sijui tatizo ni ulimbukeni au ugeni au ushamba.
Nijuavyo mimi vyama vyote vina matatizo. Ila ndugu Msigwa anataka kutuaminisha kwamba kwa yeye kugombana na CHADEMA basi CHADEMA haina jema hata Moja.
Soma Pia:
Ila CCM ni paradiso kuna kila kitu jambo ambalo ni uongo wa mchana kabisa.
- Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?
- Mchungaji Msigwa: Kama nilivyoshambulia CCM, naishambulia CHADEMA kwa sababu ni waongo. Tumeandamanisha watu, wengine wamekufa!
Aache utoto akijenge chama chake
Kula kwa mdomo raha sana.Hua namsikiliza sana Peter Msigwa na vichambo vyake dhidi ya CHADEMA sasa sijui tatizo ni ulimbukeni au ugeni au ushamba.
Nijuavyo mimi vyama vyote vina matatizo. Ila ndugu Msigwa anataka kutuaminisha kwamba kwa yeye kugombana na CHADEMA basi CHADEMA haina jema hata Moja.
Soma Pia:
Ila CCM ni paradiso kuna kila kitu jambo ambalo ni uongo wa mchana kabisa.
- Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?
- Mchungaji Msigwa: Kama nilivyoshambulia CCM, naishambulia CHADEMA kwa sababu ni waongo. Tumeandamanisha watu, wengine wamekufa!
Aache utoto akijenge chama chake
Kina ukweli kwa hiyo ccm hakuna sintofahamu!?Kinachosemwa na Msigwa kina ukweli 100% ndiyo maana Mbowe hana la kujibu
Nimemsikiliza Lissu vizuri kuwa anaijua vyema vita ya Msigwa na imeanzia mbali.Kinachosemwa na Msigwa kina ukweli 100% ndiyo maana Mbowe hana la kujibu
Na ndiyo maana Msigwa katika maelezo yake mengi anamshambulia zaidi Mbowe kuliko chadema yenyewe. Mbowe ni tatizo. Kwa kukaa kwake kitini muda mrefu amekigeuza Mungu mtu wa chama.Nimemsikiliza Lissu vizuri kuwa anaijua vyema vita ya Msigwa na imeanzia mbali.
Msigwa atakuwa amenyanyaswa sana kiasi Cha kuamua Bora ale pesa za ccm asepe kuliko manyanyaso anayopata Kwa kujitolea.
Tumepoteza watu wazuri sana cdm Kwa ubinafsi wa wachache.
Lissu akiwa kitini watu wakeeli, wapenda haki watarejea au kujiunga cdm