Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,116
- 2,616
Nini kifanyike!?Masharti ya UKIMWI yalikua madogo sana.
1. Epuka ngono
2. Ama uwe na mpenzi mmoja mwaminifu na
3. Ukishindwa kabisa tumia kondom.
VERY SIMPLE bado watu walipukutika kwa starehe ya dakika tano tuh.
MASHARTI YA KIPINDUPINDU NDIO MADOGO ZAIDI
1. Epuka uchafu
2. Uwe msafi
3. Kula visafi
SASA HII
1. Epuka misongamano
2. Vaa mask
3. Usiwasalimie jirani
4. Unawe
5. Unywe maji
6. Usukutue na maji chumvi
7. Ukae nyumbani tu
8. Bar, sokoni, mpirani, kilabuni etc marufuku
9. Usisafiri
N.k
Niambie mtanzania na kunawa mikono wapi na wapi.
Kuvaa kondom tu tena zilitolewa bure na ikiuzwa ni mia watu wamekufa. Itakua sabuni, sanitaiza, maski nk?
Sent using Jamii Forums mobile app