Namna pekee ya kuzuia Corona virus kusambaa

Namna pekee ya kuzuia Corona virus kusambaa

Marekani walichelewa sana. Trump a sana. Alikaidi maonyo yote kuanzia kabla ya ugonjwa kuingia na hata baada ya ugonjwa kuingia USA.

Hali ya alivyofanya Trump kujali sana uchumi kuliko athari kwa maisha ya binadamu haina tofauti sana na sisi.

Corona ni uzembe wetu isingetufikia, na itatumaliza tusipoamka sasa - ukweli mchungu - JamiiForums

Tofauti yetu sisi na Trump kwa sasa ni kuwa sisi tungali tunaendelea kupuuza maonyo yote.

Kimsingi tungali tunacheza bado na moto.
Hata mimi ni muumini wa Lockdown lakini wanaoikataa lockdown wanahoja kubwa saana.

Swali langu kwako...unasema Marekani walichelewa kulock...walipuuzia...

Sasa unaipa Tanzania siku ngapi nayo ifikie kwenye hali Marekani iliyonayo maana ni juzi tu Marekani alikuwa na wagonjwa elfu 60.

Kisha tuaangalie isipofikia hapo tuujue hakuna namna moja ya kupigana na hili gonjwa.
 
Hata mimi ni muumini wa Lockdown lakini wanaoikataa lockdown wanahoja kubwa saana.

Swali langu kwako...unasema Marekani walichelewa kulock...walipuuzia...

Sasa unaipa Tanzania siku ngapi nayo ifikie kwenye hali Marekani iliyonayo maana ni juzi tu Marekani alikuwa na wagonjwa elfu 60.

Kisha tuaangalie isipofikia hapo tuujue hakuna namna moja ya kupigana na hili gonjwa.

Anayekupa idadi ya wagonjwa Tanzania nani? Ummy?

Anawajua wale wawili waliotokea Tanga kwenda Zanzibar?

Tuanzie hapo kwanza.
 
Anayekupa idadi ya wagonjwa Tanzania nani? Ummy?

Anawajua wale wawili waliotokea Tanga kwenda Zanzibar?

Tuanzie hapo kwanza.
Kwani kuna nchi inatoa idadi ya wagonjwa wote waliopo ndani ya nchi? Lielewe hili pia.

Kila mmoja anatoa idadi ya wagonjwa aliowapima. Takwimu unazoziona ni za wagonjwa waliopimwa.

Kama hawakuwapima watawajulia wapi.

Kwa sasa nchinzimegawanyika sehemu mbili.

1. Kuna zinazofanya mass testing.
2. Targeted testing.

Hizi targeted kiuhalisia zitapata wagonjwa wachache ukilinganisha na zinazofanya mass testing...lakini haina maana kama unafanya mass testing basi unapima kila mtu nchini mwako.

La muhimu utashindwa kutambua wagonjwa wote nchini mwako ila vifo hauwezi kuvificha...maana nikifa nina jirani nina ndugu watasema...nao watasema itafika tu tulipo sisi.
 
Lockdown sawa lakini kabla hatujafika huko kwa nini watu wasipimwe kwa lazima angalau kila baada ya wiki mbili na kupewa cheti watakacholazimika kutembea nacho na vyombo vya dola kuhakikisha kila mtu ana cheti cha kuonyesha hali yake ya maambukizi?
Najua watu watasema hii ni gharama, lakini kuna gharama kubwa kuliko uhai wa mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kuna nchi inatoa idadi ya wagonjwa wote waliopo ndani ya nchi? Lielewe hili pia.

Kila mmoja anatoa idadi ya wagonjwa aliowapima. Takwimu unazoziona ni za wagonjwa waliopimwa.

Kama hawakuwapima watawajulia wapi.

Kwa sasa nchinzimegawanyika sehemu mbili.

1. Kuna zinazofanya mass testing.
2. Targeted testing.

Hizi targeted kiuhalisia zitapata wagonjwa wachache ukilinganisha na zinazofanya mass testing...lakini haina maana kama unafanya mass testing basi unapima kila mtu nchini mwako.

La muhimu utashindwa kutambua wagonjwa wote nchini mwako ila vifo hauwezi kuvificha...maana nikifa nina jirani nina ndugu watasema...nao watasema itafika tu tulipo sisi.

Mkuu sisi waswahili kifo ni mpango wa Mungu. Hakuna inquest wala postmortem kushughulika kutafuta sababu kamili ya kila kifo. Kwa Tanzania hii kukuta watu wamekufa kwa corona huku tukisema ukimwi, pneumonia, TB, nk si ajabu.

Kutegemea vifo moja kwa moja kwa sasa kwa sisi kama indicator bado itakuwa kwenda nje ya hoja.

Kwa nini tusubiri vifo hatuwezi kuwa wawazi tu tukapeana taarifa sahihi?

Kweli ni sisi na North Korea tu ambao pattern za issues ambayo iko this scientific zinaweza kuwa skewed kiasi hiki? Hakuna anayetaka figure kubwa kubwa ila tunastahili kuambiwa ukweli tu. Au siyo mkuu?

Mass testing au targeted testing ziko doomed to fail. Kumbuka mtu anaweza kuambukizwa a second baada ya kupimwa.

Kwa nini tunataka ku defy science? Kwa nini hatujifunzi kwa wenzetu? Mafanikio ya China yanafahamika yalitokea wapi, nk nk.

https://www.bbc.com/news/live/world-52178501
 
Lockdown sawa lakini kabla hatujafika huko kwa nini watu wasipimwe kwa lazima angalau kila baada ya wiki mbili na kupewa cheti watakacholazimika kutembea nacho na vyombo vya dola kuhakikisha kila mtu ana cheti cha kuonyesha hali yake ya maambukizi?
Najua watu watasema hii ni gharama, lakini kuna gharama kubwa kuliko uhai wa mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mtu anaweza kuambukizwa hata sekunde moja baada ya kupimwa.

Maabara yenyewe si ipo moja na ni dar tu? Mtu mmoja hadi matokeo kupatikana inachukua muda gani? Inachukua miaka mingapi kupima hata watu milioni 10 tu?

Ong'wafaza ongea na mkuu (kisukuma) hata pale kwenye kijiwe cha tangawizi basi, hatutaki siasa tunataka ufumbuzi.

Kwa nini tusijifunze hata kutoka kwa wenzetu wanaofanikiwa na vita hii?
 
Kiufupi njia zote ngumu.
LockDown ni ngumu na yenyewe pia haitafanya maambukizi kukoma.

Maana wakati una LockDown utambue kuwa kuna wenye maambukizi umewafungia ndani pia. Yaani mimi nitamwambukiza na baba na mama kaka wadogo zangu bibi pia babu usisahau shangazi mjomba maana hapa tz nyingi ni familia pana na sio single famili.

Na utambue kuwa mimi ndiye mtafutiaji wa hii familia..

Kiufupi mimi kama mimi siliungi mkono la LockDown wala siliungi mkono la kunawa maji na sabuni.

Mbinu yangu mimi iko hivi:-

Hii ni njia laisi na nyepesi kuwahi tokea duniani kote.

Kikubwa kinachotuathiri BINADAMU ni hofu.

Kwahiyo kitu cha kwanza kufanya ni kuondoa HOFU.

Yaondolewe matangazo yote kwa televisheni juu ya waathirika na hata matangazo pia yatupwa kule.
Ichukuliwe kama mafua mengine.

Kitu cha pili,

Watafutwe waganga wa mitishamba/wakienyeji maana kwa madawa ya kizungu lazima tutachemsha.

Mimi binafsi nina bibi yangu nilimsikia akisema kuwa ikitokea nikampata mgonjwa mmoja basi nimpeleke kwanza kilingeni kwake wenda akafaulu.

Ni hayo tu kwa leo
 
Mkuu nimesoma vyema bandiko lako ambalo napenda nami nikujibu kwa nia njema kama ulivyoandika.

Kwanza nini maana ya lockdown. Lockdown si kuwafungia watu ndani bali ni kuwataka watu kubakia majumbani ili kuwatambua wenye maambukizi na waliohusiana nao ili kuwatenga. Katika lockdown hulazimishwi kukaa chumbani bali hata kutembea tembea around nyumbani kwako ni sawa. Ila si kukata mitaa.

Mfano wewe katika familia yako ukigundulika kuwa tu kuwa umegundulika kuwa na maambukizi, utachukuliwa kupelekwa sehemu maalum ambako pia tiba katika uangalizi itaanza mara moja. Wale uliokuwa nao watawekwa quarantine kwenye uangalizi kutambua kama nao tayari wameambukizwa na ili wasiambukize wengine.

Si wewe wala hawa uliokuwa nao watakakuwa tena na nafasi ya kuambukiza watu wengine zaidi. Mnyororo wako wa maambukizi utakuwa umevunjika na kuishia hapo. Hii ni hatua njema sana ya kuanza kuudhibiti ugonjwa huu. Kwani ndani ya siku 14 wenzio nao watathibitika kuwa na maambukizi au la.

Hapa tatizo wala si hofu. Anayeua wagonjwa kwa mamia kwa siku USA, Spain, Italy, UK nk si hofu ni Corona.

Tusidanganyane kwenye hili.

Tatizo la Corona ni tatizo kubwa sana ambalo kimsingi halijawahi kutokea tangia Vita 2 vya dunia vimalizike 1945.

Kwa hakika tatizo la ukubwa kama huu kwa akili yoyote ya kibinadamu haliwezi kuwa na utatuzi rahisi. Kwa yeyote anayependekeza ufumbuzi rahisi itakuwa ni kwa sababu ya kushindwa tu kuelewa sawa sawa, kuwa hali iko vipi.

Kuhusiana na bibi yako. Umkumbuke babu wa Loliondo. Alikuja moto akaishia zake baridi. Bibi yako anayejidhania fundi asijaribu kuonana na mgonjwa hata mmoja wa Corona akiwa haja niga zana kamili na maalum za kujilinda na magonjwa ya maambukizi kama haya.

Vinginevyo yeye mwenyewe atakuwa hatarini mno kuambukizwa.

Huu ugonjwa ni mbaya tena zaidi kwa wanaoitwa kina babu na kina bibi. Utakuwa umemtendea haki mno kumpa hilo angalizo.

Tusiogope lockdown badala yake tuone tunaielewa na jinsi gani tunaweza kujipanga kuipita salama:

Rwandan cabinet, PSs forfeit April salaries over coronavirus

Covid-19: Uhuru bans movement in and out of Nairobi

Kwa umoja wetu vita hivi tutavishinda.

Hata hivyo maslahi yetu kama taifa lazima yaje mbele kabla ya yale ya kibinafsi. Hapo mbona hata wa kuunga mkono juhudi watapatikana?



Kiufupi njia zote ngumu.
LockDown ni ngumu na yenyewe pia haitafanya maambukizi kukoma.

Maana wakati una LockDown utambue kuwa kuna wenye maambukizi umewafungia ndani pia. Yaani mimi nitamwambukiza na baba na mama kaka wadogo zangu bibi pia babu usisahau shangazi mjomba maana hapa tz nyingi ni familia pana na sio single famili.

Na utambue kuwa mimi ndiye mtafutiaji wa hii familia..

Kiufupi mimi kama mimi siliungi mkono la LockDown wala siliungi mkono la kunawa maji na sabuni.

Mbinu yangu mimi iko hivi:-

Hii ni njia laisi na nyepesi kuwahi tokea duniani kote.

Kikubwa kinachotuathiri BINADAMU ni hofu.

Kwahiyo kitu cha kwanza kufanya ni kuondoa HOFU.

Yaondolewe matangazo yote kwa televisheni juu ya waathirika na hata matangazo pia yatupwa kule.
Ichukuliwe kama mafua mengine.

Kitu cha pili,

Watafutwe waganga wa mitishamba/wakienyeji maana kwa madawa ya kizungu lazima tutachemsha.

Mimi binafsi nina bibi yangu nilimsikia akisema kuwa ikitokea nikampata mgonjwa mmoja basi nimpeleke kwanza kilingeni kwake wenda akafaulu.

Ni hayo tu kwa leo
 
Mkuu mtu anaweza kuambukizwa hata sekunde moja baada ya kupimwa.

Maabara yenyewe si ipo moja na ni dar tu? Mtu mmoja hadi matokeo kupatikana inachukua muda gani? Inachukua miaka mingapi kupima hata watu milioni 10 tu?

Ong'wafaza ongea na mkuu (kisukuma) hata pale kwenye kijiwe cha tangawizi basi, hatutaki siasa tunataka ufumbuzi.

Kwa nini tusijifunze hata kutoka kwa wenzetu wanaofanikiwa na vita hii?
Hakuna njia moja pekee inayoweza kutuokoa kwa asilimia mia moja.
Kinachotakiwa ni kutumia njia zote tunazoelekezwa na wataalam wetu.
Hili wazo nililolitoa ni nyongeza tu kwa nia ya kubaini walioambukizwa tayari ili wapate matibabu kwa muda muafaka na wasiendelee kuwaambukiza wengine.
Hii itachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza maambukizi mapya
Ni hayo tu ndugu wane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna njia moja pekee inayoweza kutuokoa kwa asilimia mia moja.
Kinachotakiwa ni kutumia njia zote tunazoelekezwa na wataalam wetu.
Hili wazo nililolitoa ni nyongeza tu kwa nia ya kubaini walioambukizwa tayari ili wapate matibabu kwa muda muafaka na wasiendelee kuwaambukiza wengine.
Hii itachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza maambukizi mapya
Ni hayo tu ndugu wane.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii bagosha!

Nakubaliana na wewe mkuu tuko pamoja.

Bandiko lako limejaa hekima mkuu. Kongole kwako
 
Ugonjwa hauenezwi kwa njia ya hewa
Siyo kweli kwamba muathirika anaambukiza watu wote anaokutana nao
 
Ugonjwa hauenezwi kwa njia ya hewa
Siyo kweli kwamba muathirika anaambukiza watu wote anaokutana nao

Kwa wastani mmoja anaambukiza 90. Mgonjwa anaambukiza wengi wa anaohusiana nao.
 
Back
Top Bottom