Namna Rais wa mchongo anavyopatikana

Namna Rais wa mchongo anavyopatikana

Duuh! Sijui waliotenda haya wanaamini kuna ahera kweli? Na wanaonufuaika na michongo hii wanalala kwa raha na amani moyoni?
Kikwazo kikubwa kwa Africa ni hao wachongaji,wanalinda maslahi ya kikundi na si nchi
 
Tia neno mkuu. Kwa mara ya kwanza nimekushuhudia umeshndwa kufanya utetezi [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ulitaka nitetee nini??? Hivi wewe hadi leo huielewi siasa sasa mimi utanielewa?
 
Leo nawaletea stori fupi kwa njia ya video fupifupi jinsi ambavyo Rais wa mchongo huwa anapatikana.

Rais wa mchongo ni Rais ambae amechongwa au kulazimishwa kuwa Rais na mamlaka ambazo zimepewa jukumu la kulinda demokrasia pamoja na haki za wananchi.

Rais wa mchongo ni Rais ambae hana kibali cha wananchi bali yeye ameingizwa madarakani na vyombo vya dola kwa hiyo yeye hutumikia vyombo vya dola badala ya wananchi.

Katika video hizi fupi hapa chini tutaona jinsi Rais wa mchongo anavyopatikana na pia tutaona wanaomchonga huwa wanamchonga vipi.

Karibuni sana mpate burudani.

View attachment 2040113View attachment 2040114View attachment 2040115View attachment 2040117View attachment 2040122
Cc, Johnthebaptist njoo huku watu wanatuharibia mamb zetu bwashee 🙌
 
Leo nawaletea stori fupi kwa njia ya video fupifupi jinsi ambavyo Rais wa mchongo huwa anapatikana.

Rais wa mchongo ni Rais ambae amechongwa au kulazimishwa kuwa Rais na mamlaka ambazo zimepewa jukumu la kulinda demokrasia pamoja na haki za wananchi.

Rais wa mchongo ni Rais ambae hana kibali cha wananchi bali yeye ameingizwa madarakani na vyombo vya dola kwa hiyo yeye hutumikia vyombo vya dola badala ya wananchi.

Katika video hizi fupi hapa chini tutaona jinsi Rais wa mchongo anavyopatikana na pia tutaona wanaomchonga huwa wanamchonga vipi.

Karibuni sana mpate burudani.

View attachment 2040113View attachment 2040114View attachment 2040115View attachment 2040117View attachment 2040122
Kuna mchongo lakini huu wa kwetu ulisimamiwa na wahuni wasio na akili za kutosha
 
Kuna Chama Cha mchongo
IGP wa mchongo
CDF wa mchongo
CJ wa mchongo
Bunge la mchongo
Time za mchongo
Muungano wa mchongo

Kiufupi hii ni nchi ya mchongo tuishi kimchongo chongo tu
Kwa CDF wa mchongo umekosea,Kati ya watu ambao kidogo wana aibu ni JW, hawa at least wanajaribu kua pembeni na mambo ya siasa
 
Back
Top Bottom