Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada namna ya kufungua hizi attachment please
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tumia browserMbna nmeshindwa kuifungua????
Tumia browserMsaada namna ya kufungua hizi attachment please
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huna bando ,usitusumbueMsaada namna ya kufungua hizi attachment please
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
P1Tumia browser
Kikwazo kikubwa kwa Africa ni hao wachongaji,wanalinda maslahi ya kikundi na si nchiDuuh! Sijui waliotenda haya wanaamini kuna ahera kweli? Na wanaonufuaika na michongo hii wanalala kwa raha na amani moyoni?
Tia neno mkuu. Kwa mara ya kwanza nimekushuhudia umeshndwa kufanya utetezi [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikuwahi kujua kama aliwahi kuyasema haya!
anaonekana tu,hatajicho lake nila kinafki[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2040346
Salama kabisa, habari ya wewe?Habari za asubuhi ndugu yangu Mama D
Mungu ni mwema. Nilikukwaza jana sorry ndugu
Cc, Johnthebaptist njoo huku watu wanatuharibia mamb zetu bwashee 🙌Leo nawaletea stori fupi kwa njia ya video fupifupi jinsi ambavyo Rais wa mchongo huwa anapatikana.
Rais wa mchongo ni Rais ambae amechongwa au kulazimishwa kuwa Rais na mamlaka ambazo zimepewa jukumu la kulinda demokrasia pamoja na haki za wananchi.
Rais wa mchongo ni Rais ambae hana kibali cha wananchi bali yeye ameingizwa madarakani na vyombo vya dola kwa hiyo yeye hutumikia vyombo vya dola badala ya wananchi.
Katika video hizi fupi hapa chini tutaona jinsi Rais wa mchongo anavyopatikana na pia tutaona wanaomchonga huwa wanamchonga vipi.
Karibuni sana mpate burudani.
View attachment 2040113View attachment 2040114View attachment 2040115View attachment 2040117View attachment 2040122
Kuna mchongo lakini huu wa kwetu ulisimamiwa na wahuni wasio na akili za kutoshaLeo nawaletea stori fupi kwa njia ya video fupifupi jinsi ambavyo Rais wa mchongo huwa anapatikana.
Rais wa mchongo ni Rais ambae amechongwa au kulazimishwa kuwa Rais na mamlaka ambazo zimepewa jukumu la kulinda demokrasia pamoja na haki za wananchi.
Rais wa mchongo ni Rais ambae hana kibali cha wananchi bali yeye ameingizwa madarakani na vyombo vya dola kwa hiyo yeye hutumikia vyombo vya dola badala ya wananchi.
Katika video hizi fupi hapa chini tutaona jinsi Rais wa mchongo anavyopatikana na pia tutaona wanaomchonga huwa wanamchonga vipi.
Karibuni sana mpate burudani.
View attachment 2040113View attachment 2040114View attachment 2040115View attachment 2040117View attachment 2040122
Kwa CDF wa mchongo umekosea,Kati ya watu ambao kidogo wana aibu ni JW, hawa at least wanajaribu kua pembeni na mambo ya siasaKuna Chama Cha mchongo
IGP wa mchongo
CDF wa mchongo
CJ wa mchongo
Bunge la mchongo
Time za mchongo
Muungano wa mchongo
Kiufupi hii ni nchi ya mchongo tuishi kimchongo chongo tu
Nenda web viewNa mie nmeshindwa cjui kwa kuwa na hiki kimeo changu cha tochi
Mama D wetu🤗🤗🤗Hujanikwaza Sarri
Uwe na siku njema
Behaviorist Mwenyewe💥Mama D wetu🤗🤗🤗