mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Ifuatayo ni Technique tunayotumia kuiba kodi kupitia mashine hizi zilizoletwa na sirikali na TRAAAA;
Unanunua mashine 2 unaingiza settings zinazofanana isipokua moja inakua ina act kama client na nyingine ina act kama server,inapofika mda wa kutoa risiti, hii inayo act kama client ndio inakua staring hapa unaprint risit halafu ripoti unasend huku iki map katika mashine ya pili inayo act kama server then hawa TRA hawapati ripoti ya aina yoyote na kampuni inapewa risiti iliyokamilika yenye VAT na kila kitu......na mbinu nyingine ambazo siziweki hapa kwa sasa,kwa sababu hizi mbinu zote kitengo cha FORENSIC cha TRA walitakiwa kua wanzaijua na kuzidhibiti ipasavyo lakini wapo wamekaaa wakipulizwa kipupwe ofisini....pia kuna kodi nyingi tunaikosa kupitia matangazo ya facebook,twitter,google ads kama nchi zingine zinavyofanya kwa kutoza kila tangazo as long linatoka Tanzania....mnakalia kukandamiza amachinga kwa ,mashine za 800,000 ambazo Nairobi zinauzwa 300,000 mapaka 250,000...hebu nisiseme mengi manake tumbo lishavurugika mie........:frown: mfyyuuuuuuuuu sijui tutajifunza lini.....wekeni hizo mashine na atutaendelea kuiba kodi......
Unanunua mashine 2 unaingiza settings zinazofanana isipokua moja inakua ina act kama client na nyingine ina act kama server,inapofika mda wa kutoa risiti, hii inayo act kama client ndio inakua staring hapa unaprint risit halafu ripoti unasend huku iki map katika mashine ya pili inayo act kama server then hawa TRA hawapati ripoti ya aina yoyote na kampuni inapewa risiti iliyokamilika yenye VAT na kila kitu......na mbinu nyingine ambazo siziweki hapa kwa sasa,kwa sababu hizi mbinu zote kitengo cha FORENSIC cha TRA walitakiwa kua wanzaijua na kuzidhibiti ipasavyo lakini wapo wamekaaa wakipulizwa kipupwe ofisini....pia kuna kodi nyingi tunaikosa kupitia matangazo ya facebook,twitter,google ads kama nchi zingine zinavyofanya kwa kutoza kila tangazo as long linatoka Tanzania....mnakalia kukandamiza amachinga kwa ,mashine za 800,000 ambazo Nairobi zinauzwa 300,000 mapaka 250,000...hebu nisiseme mengi manake tumbo lishavurugika mie........:frown: mfyyuuuuuuuuu sijui tutajifunza lini.....wekeni hizo mashine na atutaendelea kuiba kodi......