#COVID19 Namna ulimwengu unavyodanganywa

#COVID19 Namna ulimwengu unavyodanganywa

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
00.jpg
Data hazidanganyi, watu ndio wanadanganya
Tena mchana kweupe.

JImbo la Uttar Pradesh nchini India lina watu takribani 240 milioni.
Asilimia 5.8 tu ya watu wote wamepata dozi kamili
Marekani ina watu takribani milioni 330.
Asilimia 54 ya watu wote wamepata dozi kamili - yaani zaidi ya nusu.

LAKINI
Uttar Pradesh imetangazwa kuwa iko free toka kwenye ugonjwa huu (tazama grafu hapo juu ni ya hadi juzi tu tar 17/9).
Ilhali Marekani bado inahangaika nao.

NINI TOFAUTI
  1. Uttar Pradesh wametoa SANA dawa ya Ivermectin kwa watu wao.
  2. Marekani wanadanganya watu wao kuwa Ivermectin sio dawa ya hiki kirusi. (Na hata dunia nzima imedanganywa hivyo)
NINI MAANA YAKE?
  1. Sio kweli kwamba kirusi hiki hakina dawa.
  2. Hii sindano lengo lake sio kuleta afya.
  3. Usipojiokoa mwenyewe, huna wa kumlaumu
MASWALI
  1. Kama dawa ipo, kwa nini wamekalia sindano, sindano?
  2. Kama hili wameficha, ni mangapi mengine wameficha?
  3. Kwa kuwa inaonekana afya sio lengo, lengo lao ni nini?
……………..
SOURCE: India State Of 241 MILLION People Declared COVID-Free After Government Promotes Ivermectin
 
Data hazidanganyi, watu ndio wanadanganya
Tena mchana kweupe.

JImbo la Uttar Pradesh nchini India lina watu takribani 240 milioni.
Asilimia 5.8 tu ya watu wote wamepata dozi kamili
Marekani ina watu takribani milioni 330.
Asilimia 54 ya watu wote wamepata dozi kamili - yaani zaidi ya nusu.

LAKINI
Uttar Pradesh imetangazwa kuwa iko free toka kwenye ugonjwa huu (tazama grafu hapo juu ni ya hadi juzi tu tar 17/9).
Ilhali Marekani bado inahangaika nao.

NINI TOFAUTI
  1. Uttar Pradesh wametoa SANA dawa ya Ivermectin kwa watu wao.
  2. Marekani wanadanganya watu wao kuwa Ivermectin sio dawa ya hiki kirusi. (Na hata dunia nzima imedanganywa hivyo)
NINI MAANA YAKE?
  1. Sio kweli kwamba kirusi hiki hakina dawa.
  2. Hii sindano lengo lake sio kuleta afya.
  3. Usipojiokoa mwenyewe, huna wa kumlaumu
MASWALI
  1. Kama dawa ipo, kwa nini wamekalia sindano, sindano?
  2. Kama hili wameficha, ni mangapi mengine wameficha?
  3. Kwa kuwa inaonekana afya sio lengo, lengo lao ni nini?
……………..
SOURCE:
India State Of 241 MILLION People Declared COVID-Free After Government Promotes Ivermectin
Tuwekee ya TZ
 
cha muhimu kujitoa tu ufahamu na kujilipuaa kwa kula malimao/ndizi/nyanya chungu/ bamia/maji moto/mchai chai/ hahahaaa (use God pharmacy)
 
cha muhimu kujitoa tu ufahamu na kujilipuaa kwa kula malimao/ndizi/nyanya chungu/ bamia/maji moto/mchai chai/ hahahaaa (use God pharmacy)
Hiyo ni sehemu muhimu. Lakini cha muhimu zaidi ni kubaini kilicho nyuma ya zoezi zima hili. Unaweza kukuta hata hayo nayo sio priority.
 
Ishu sio sindano.
Ishu ni kwamba vaccine ni big business kwa leading pharmaceutical companies. Vaccine imekua biashara kama ilivyo vita. Vita ni biashara pia. Hivyo basi tunafanyiwa biashara kwa njia yaa mkopo wa vaccine. Tumepewa juzi ma Trilion na tutayalipa kwa riba.

Read the book Dead Aid by Dambisa Moyo.
 
Data hazidanganyi, watu ndio wanadanganya
Tena mchana kweupe.

JImbo la Uttar Pradesh nchini India lina watu takribani 240 milioni.
Asilimia 5.8 tu ya watu wote wamepata dozi kamili
Marekani ina watu takribani milioni 330.
Asilimia 54 ya watu wote wamepata dozi kamili - yaani zaidi ya nusu.

LAKINI
Uttar Pradesh imetangazwa kuwa iko free toka kwenye ugonjwa huu (tazama grafu hapo juu ni ya hadi juzi tu tar 17/9).
Ilhali Marekani bado inahangaika nao.

NINI TOFAUTI
  1. Uttar Pradesh wametoa SANA dawa ya Ivermectin kwa watu wao.
  2. Marekani wanadanganya watu wao kuwa Ivermectin sio dawa ya hiki kirusi. (Na hata dunia nzima imedanganywa hivyo)
NINI MAANA YAKE?
  1. Sio kweli kwamba kirusi hiki hakina dawa.
  2. Hii sindano lengo lake sio kuleta afya.
  3. Usipojiokoa mwenyewe, huna wa kumlaumu
MASWALI
  1. Kama dawa ipo, kwa nini wamekalia sindano, sindano?
  2. Kama hili wameficha, ni mangapi mengine wameficha?
  3. Kwa kuwa inaonekana afya sio lengo, lengo lao ni nini?
……………..
SOURCE:
India State Of 241 MILLION People Declared COVID-Free After Government Promotes Ivermectin
Hata Mwendazke alitangaza Tanzania ni free from corona. Akapewa na kombe na viongozi wa dini. Lakini baadae walifariki watu wengi tu na yeye akiwa mmoja wapo.
 
Ishu sio sindano.
Ishu ni kwamba vaccine ni big business kwa leading pharmaceutical companies. Vaccine imekua biashara kama ilivyo vita. Vita ni biashara pia. Hivyo basi tunafanyiwa biashara kwa njia yaa mkopo wa vaccine. Tumepewa juzi ma Trilion na tutayalipa kwa riba.

Read the book Dead Aid by Dambisa Moyo.
That is it.
Na hicho ndicho wengine tunajaribu kuwasilisha.
Wewe unaongelea kwenye ngazi ya nchi.
Lakini pia kuna level ya mtu mmojammoja hususan kwenye afya yake.
Ajue kufanya maamuzi sahihi panapofika kukubali au kukataa sindano.
Maana ukishaivaa, there is no reverse button.
Kwa hiyo, ukishajua kwamba this has NOTHING to do with afya, utabaini uamuzi sahihi wa kuchukua.
 
Hata Mwendazke alitangaza Tanzania ni free from corona. Akapewa na kombe na viongozi wa dini. Lakini baadae walifariki watu wengi tu na yeye akiwa mmoja wapo.
Unachosema ni nini mkuu? Kwamba alichokikana kilimmaliza?
 
Back
Top Bottom