Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Duuh kazi sana, kumbe Jentre tapeli
 
Hatari sanA
 
Ila ndugu yangu UMUGHAKA unatakiwa uje upatiwe tuzo ya mtesekaji bora. Yaani simulizi zako zote huwa ni majanga hadi najikuta nawaza huyu jamaa alikosea wapi. Nadhani katika watanzania wanaoteseka wewe utakuwepo kwenye kumi bora; sema hukubali kukata tamaa. One day YES utakuja na simulizi ya ushindi hapa. Endelea kupambana mwamba
 
Si alikula bata na Audi ya mpemba hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…