Namna ya kuacha u domo zege

Basi ujitahidi hapo kwenye muonekano mkuu ujue jinsi ya kupangilia nguo uvae vizuri unukie na hela si ipo watakupenda tu

Ikiendelea hivyo uende baharini ukaoge utoe gundu mkuu au uende kanisani ukaombewe
Asante kwa ushauri mkuu, ila kama sielewi elewi vile wakati sijaanza kuzinasa walikuwa wanajileta na wananipenda kufa ila ivi nnazo siwaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za saa izi wana jamvi, natumai hamjambo, kama inavyo jieleza title siredi mi ni domo zege na nimesha ucoka, kwa hiyo naitaji msaada wa mbinu zakumalizana na ili janga
Domo zege ndio nini??
Yaani wewe ni mbea??
 
Habari za saa izi wana jamvi, natumai hamjambo, kama inavyo jieleza title siredi mi ni domo zege na nimesha ucoka, kwa hiyo naitaji msaada wa mbinu zakumalizana na ili janga
Hicho kidole kwenye Avatar yako kinamaanisha nini?
Maneno mengine umeyaandika vibaya kiasi kwamba unampa kazi msomaji wako kuyaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…