Uncle Yoso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 378
- 262
Mbaka hapo tu tayariHata sina uhakika na miaka yangu mkuu, maana hata wazazi wangu hawakumbuki siku nilio zaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaka hapo tu tayariHata sina uhakika na miaka yangu mkuu, maana hata wazazi wangu hawakumbuki siku nilio zaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Chai1;Huwezi kumshawishi demu mzuri akupe namba yake ya simu!ukiambiwa tu hapana na wewe unaridhika tu na kutoa mimacho tu!
2;Ukimwona mwanamke mzuri unashindwa kumsalimia unabaki unamponda tu!
3;Kuonga kupita kiasi
4;Kuanza kujisifia kwa mshkaji pindi umwonapo demu mzuri kuwa wewe ulimiliki vitu vikubwa.
N.B: Ukishindwa kumshawishi mwanamke ina maana hata zoezi la biashara kwako litakuwa ni ngumu kwani hata wateja wanahitaji kutongozwa! Nimepatia??
Siyo domo tu zege ni mkono zege piahizi,tittle,mimi,nahitaji,hili,
Wewe ni domo zege mpaka kwenye uandishi wako!
Kajifundishe kuandika kwanza,kwa uandishi huo hata ukimtumia demu msg lazima akudharau tu.