dadamkubwa
Senior Member
- Sep 3, 2013
- 115
- 20
Hataki kunyonya ila si umeanza kumpa chakula? Au pia hataki
Nimeanza kumpa chakula lkn pia anasumbua sana na kunyonya sana sana usiku ila mchana kutwa hana habari yan hata cjui nifanyeje
Habari zenu wapendwa mm ni mgen naomba mnikaribishe...!!
Lkn pia nilikuwa naomba msaada wa kujua lishe bora ya mtt wa miez nane. mana mtt wangu hatak kunyonya sasa mwezi uliopita amepungua karibia point 7 ,,, msaada wenu plz kwa wanaojua
mpe mtoto kila siku. TAHADHARI: baada ya miezi miwili mtoto atakuwa ameongeza uzito na kunenepa punguza lishe ya unga wa soya kwa kumpa matunda na vyakula vingine ili mtoto asije akashindwa kutembea kwa kunenepa. wangu alitembea
Kuna watoto wa aina hio na hata ukienda hospital watakwambia hayo hayk na kuishia kumpatia dawa za vitamins etc. Mchana uwe unamsagia chakula chake na uhakikishe unaweka virutubisho vyote muhimu km kerot mboga mboga na pia pendelea kitoweo cha kuku na samaki, na nyama mara moja moja usiiwache kabisa kwani nayo ina virutubisho vyake. Ww jitahidi kumlisha vizuri mchana ilivyokua usiku anapata nyonyo ni vyema. Ila ikifika kipindi cha miezi hio mtoto hua haongezeki kilo zake kwa kasi km anapokua miezi ya mwanzo..hapo unaweza kila ukienda clinic unamkuta haongezeki kg hata point hadi unakata tamaa ila hio isikushtue sana...ni mtoto wa mwanzo?