dadamkubwa
Senior Member
- Sep 3, 2013
- 115
- 20
Habari zenu wapendwa mm ni mgen naomba mnikaribishe...!!
Lkn pia nilikuwa naomba msaada wa kujua lishe bora ya mtt wa miez nane. mana mtt wangu hatak kunyonya sasa mwezi uliopita amepungua karibia point 7 ,,, msaada wenu plz kwa wanaojua
Lkn pia nilikuwa naomba msaada wa kujua lishe bora ya mtt wa miez nane. mana mtt wangu hatak kunyonya sasa mwezi uliopita amepungua karibia point 7 ,,, msaada wenu plz kwa wanaojua