akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 787
- 526
Mahitaji:
Nyanya
Vitunguu maji
Chumvi
Vinegar
Ndimu
Pilipili mbuzi au kichaa
Parachichi lililoiva lakin liwe gumu
Embe dodo/ lile kubwa lililoiva
Hohoho
Karoti
Kabichi
Tango
Safisha viungo vyote vizuri,
Anza kukatakata vitunguu maji kisha tia ndani ya maji safi ili kupunguza ukari japo wengine huosha na chumvi ila sishauri, viache kwa muda kisha osha na maji safi.
Endelea kukata kata vyote vilivyobaki kisha changanya kwa pamoja then tia vinegar na chumvi then acha kwa muda kuua wadudu, mwisho katakata parachichi
Kisha changanya kwa pamoja.
Embe lazima pia likatwe kwa vipande vidogo vidogo sana.
Hii nzuri kwa wenzangu walevi maana inakata pombe na pia huondoa hang over lakin pia inaongeza hamu ya kula na husaidia tumbo kutojaa gas hata ule vipi au unywe vipi.
Sijaweka vipo maana naamini sote tunauwezo wa kukadiria hahahaha
Nyanya
Vitunguu maji
Chumvi
Vinegar
Ndimu
Pilipili mbuzi au kichaa
Parachichi lililoiva lakin liwe gumu
Embe dodo/ lile kubwa lililoiva
Hohoho
Karoti
Kabichi
Tango
Safisha viungo vyote vizuri,
Anza kukatakata vitunguu maji kisha tia ndani ya maji safi ili kupunguza ukari japo wengine huosha na chumvi ila sishauri, viache kwa muda kisha osha na maji safi.
Endelea kukata kata vyote vilivyobaki kisha changanya kwa pamoja then tia vinegar na chumvi then acha kwa muda kuua wadudu, mwisho katakata parachichi
Kisha changanya kwa pamoja.
Embe lazima pia likatwe kwa vipande vidogo vidogo sana.
Hii nzuri kwa wenzangu walevi maana inakata pombe na pia huondoa hang over lakin pia inaongeza hamu ya kula na husaidia tumbo kutojaa gas hata ule vipi au unywe vipi.
Sijaweka vipo maana naamini sote tunauwezo wa kukadiria hahahaha