M mwaruhita Member Joined Jul 5, 2015 Posts 25 Reaction score 6 Jul 20, 2015 #1 Mimi ni mgeni katika JF. Naomba mnielimishe namna ya kupost thread mpya humu.
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Jul 20, 2015 #2 Kwani hii nani kakuelimisha namna ya kuipost?
McDonaldJr JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 6,386 Reaction score 7,558 Jul 20, 2015 #3 Unatakiwa usubiri nwaka 1 ndio robot akupe idhini ya kupost hapa JF kwa sasa upo kwenye matazamio kua mvumilivu mkuu.
Unatakiwa usubiri nwaka 1 ndio robot akupe idhini ya kupost hapa JF kwa sasa upo kwenye matazamio kua mvumilivu mkuu.
mjukuum JF-Expert Member Joined Dec 8, 2014 Posts 5,258 Reaction score 2,842 Jul 20, 2015 #4 Nina habri nyingi sn lkn cjui kuanzisha kila ck mi nachangi nijuzeni
T tetea tete JF-Expert Member Joined Jul 19, 2015 Posts 388 Reaction score 127 Jul 20, 2015 #5 Hebu toeni elimu jamani
Marire JF-Expert Member Joined May 1, 2012 Posts 12,333 Reaction score 5,292 Jul 20, 2015 #6 Hizo habr zako andika humu humu kwenye hii siredi
Coke Zero JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 1,024 Reaction score 542 Jul 20, 2015 #7 nifah said: Kwani hii nani kakuelimisha namna ya kuipost? Click to expand... Bora umesema wewe, maana ningesema mimi angenielewa vibaya!
nifah said: Kwani hii nani kakuelimisha namna ya kuipost? Click to expand... Bora umesema wewe, maana ningesema mimi angenielewa vibaya!
I IBM2014 JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 929 Reaction score 169 Jul 20, 2015 #8 U already did it
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Jul 21, 2015 #9 Karibu sana JF... Hii kali ya mwaka...
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Jul 21, 2015 #10 Karibu sana JF mjukuu wetu..........
P periodantal Member Joined Jun 21, 2015 Posts 48 Reaction score 10 Jul 21, 2015 #11 Hee hebu nisubiri
Bangsweezy JF-Expert Member Joined Jan 6, 2014 Posts 880 Reaction score 200 Jul 26, 2015 #12 Karibu mgeni Jf
napenda JF-Expert Member Joined Jul 14, 2015 Posts 485 Reaction score 90 Aug 9, 2015 #13 mwaruhita said: Mimi ni mgeni katika JF. Naomba mnielimishe namna ya kupost thread mpya humu. Click to expand... Nimecheka sana, hii ndo jf, teh teh teh
mwaruhita said: Mimi ni mgeni katika JF. Naomba mnielimishe namna ya kupost thread mpya humu. Click to expand... Nimecheka sana, hii ndo jf, teh teh teh