Namna ya kuandika thread

mwaruhita

Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
25
Reaction score
6
Mimi ni mgeni katika JF. Naomba mnielimishe namna ya kupost thread mpya humu.
 
Kwani hii nani kakuelimisha namna ya kuipost?
 
Unatakiwa usubiri nwaka 1 ndio robot akupe idhini ya kupost hapa JF kwa sasa upo kwenye matazamio kua mvumilivu mkuu.
 
Nina habri nyingi sn lkn cjui kuanzisha kila ck mi nachangi nijuzeni
 
Hizo habr zako andika humu humu kwenye hii siredi
 
Karibu sana JF...

Hii kali ya mwaka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…