Namna ya kuanza biashara ya uwakala wa mitandao ya simu

Namna ya kuanza biashara ya uwakala wa mitandao ya simu

kunonu

Member
Joined
Jun 28, 2020
Posts
88
Reaction score
121
Habarini wandugu!

Nataka kuanza biashara ya uwakala wa mitandao ya simu yaani Tigo Pesa, M_Pesa, Halopesa nk.

Nahitaji muongozo wa vigezo vya kuwa wakala na mapato yapoje?
Nawasilisha
1565873979116.jpg
 
Unatakiwa uwe na TIN Number,uwe na leseni ya biashara,kitambukisho cha chaifa(NIDA) mtaji usiopungusiopungua angalau laki 6 kila laini 1 ifanye mzunguko wa laki 2 kwa mitandao 3 pia muhimu uwe na ofisi ya kufanyia kazi(kibanda)

Jinsi ya kupata laini uanaenda kwenye ofisi za mtandao husika unapatiwa bure kama umekidhi vigezo nilivyokuambia.

Mapato unalipwa kwa kamisheni kulingana na idadi ya miamala kwa mwezi na kila muamala unapata percentage makato ya mteja aliyokatwa na mtandao husika.

Mf. Mteja akitoa elfu 20,000/= anakwatwa Tsh. 2,000/= haya makato inagawanywa sehemu kuu 3 TRA, mtandao husika na wakala nadhani wakala anapata 10% inamaana ni sawa na Tsh.200/= ukifanya miala elfu moja kwa mtandao husika utalipwa Tsh. 200,000/=kwa mwezi. Inamaana kwa mitandao 3 ni sawa na laki 6 kwa mwezi utaingiza.

Mahesabu ya ukaribu na ukweli nimefanya zamani hii biashara nasikia asiku hizi asilimia zimeshuka fanya utafiti kuhusu hilo.
 
unatakiwa uwe na TIN Number,uwe na leseni ya biashara,kitambukisho cha nida mtaji usiopungua laki 6 angalau kila laini 1 ifanye mzunguko wa laki 2 pamoja na ofisi ya kufanyia kazi(kibanda)
Jinsi ya kupata laini uanaenda kwenye ofisi za mtandao husika unapatiwa bure kama umekidhi vigezo nilivyokuambia.
Mapato unalipwa kwa kamisheni kulingana na idadi ya miamala kwa mwezi na kila muamala unapata percentage makato ya mteja aliyokatwa na mtandao husika.
Mf. Mteja akitoa elfu 20,000/= anakwatwa Tsh. 2,000/= haya makato inagawanywa sehemu kuu 3 TRA, mtandao husika na wakala nadhani wakala anapata 10% inamaana ni sawa na Tsh.200/= ukifanya miala elfu moja kwa mtandao husika utalipwa Tsh. 200,000/=kwa mwezi.
Mahesabu ya ukaribu na ukweli nimefanya zamani hii biashara nasikia asiku hizi asilimia zimeshuka fanya utafiti kuhusu hilo.
Nashukuru sana [emoji1752][emoji1752]
 
Yaani ni mtaji wa 200,000 kwa laini moja [emoji848][emoji848]
 
Huo ni wastani tu na nimekupa kiwango cha chini kwa kuanzia, mimi nilianza na laki moja na mtaji ulikuwa, unaweza kuanzia ata kama una milioni zako kulingana na mzunguko wa eneo na mtaji ulio nao.
Ahsante sana [emoji1752][emoji1752]
 
Unatakiwa uwe na TIN Number,uwe na leseni ya biashara,kitambukisho cha chaifa(NIDA) mtaji usiopungusiopungua angalau laki 6 kila laini 1 ifanye mzunguko wa laki 2 kwa mitandao 3 pia muhimu uwe na ofisi ya kufanyia kazi(kibanda)

Jinsi ya kupata laini uanaenda kwenye ofisi za mtandao husika unapatiwa bure kama umekidhi vigezo nilivyokuambia.

Mapato unalipwa kwa kamisheni kulingana na idadi ya miamala kwa mwezi na kila muamala unapata percentage makato ya mteja aliyokatwa na mtandao husika.

Mf. Mteja akitoa elfu 20,000/= anakwatwa Tsh. 2,000/= haya makato inagawanywa sehemu kuu 3 TRA, mtandao husika na wakala nadhani wakala anapata 10% inamaana ni sawa na Tsh.200/= ukifanya miala elfu moja kwa mtandao husika utalipwa Tsh. 200,000/=kwa mwezi. Inamaana kwa mitandao 3 ni sawa na laki 6 kwa mwezi utaingiza.

Mahesabu ya ukaribu na ukweli nimefanya zamani hii biashara nasikia asiku hizi asilimia zimeshuka fanya utafiti kuhusu hilo.
Thread closed
 
Natafuta line ya M-pesa (uwakala) kwa mtu muaminifu aniuzie ili niifanyie kazi kwa mwaka huu huku nikiwa nakamilisha utaratibu wa kufatilia Makao makuu mana kwa sasa voda hawatoi tena line msaada ndugu zangu.
 
Natafuta line ya M-pesa (uwakala) kwa mtu muaminifu aniuzie ili niifanyie kazi kwa mwaka huu huku nikiwa nakamilisha utaratibu wa kufatilia Makao makuu mana kwa sasa voda hawatoi tena line msaada ndugu zangu.
upo mkoa gani
 
Leseni ya biashara ya gharama ndogo ni kias gani??
saloon,elfu 50 .ila ukitaka ya chini zaidi waambie unataka kufungua biashara ya kuchaji simu watakadiria,

NOTE:voda wamesitisha usajil wa till mpya.

chakufanya.
unanunua till ya mtu then unaenda nae vodashop ili kubadilishiwa usajil akiwa na nakala zote.

wale wahudum wa voda watakuomba hela kidogo ya soda
 
Back
Top Bottom