cleverr
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 141
- 139
Sorry mkuu,saloon,elfu 50 .ila ukitaka ya chini zaidi waambie unataka kufungua biashara ya kuchaji simu
So nkiwa na 50,000 tu napata leseni, na ntawaambia ni kwa ajiri ya biashara labda ya saloon au ufundi simu then ntaipeleka tigoshop ili nipate till ya uwakala