Namna ya kuaznisha YouTube channel

nessonlegend

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,698
Reaction score
1,512
Habari ndugu wana JF,

Kwa mara kadhaa nimekuwa nikipata hamasa na kutamani kuanzisha profitable YouTube channel, ila imekuwa ikiniwia ngumu kutokana na kutokuwa mtaalamu wa haya mambo. Mwenye ujuzi naombeni msaada ili iwe chachu kwangu na kwa wale wengine wataoona inafaa kuanzisha kitu kama hiki.

Vitu vya kuzingatia:

Namna ya kiuanzisha,
Idadi ya subscriber
Namna ya ulipwaji na
Zaidi ya yote ni kwamba, je sio kosa kushare video ya mtu kwenye chaneli yako?

Natanguliza shukrani za dhati
 
Ukishakuwa na e-mail ya gmail unaweza kutengeneza chanel ya youtube, ingia menu ya youtube utaona button ya kutengeneza channel.

Idadi ya subscribers inayotakiwa ili google waanze kuweka ads kwenye video zako ni 1000 na total watching hours 4000 kwa mwaka.

Kitu chochote ambacho kipo kwenye internet kutoka kwa mmiliki aliye sahihi (original creator) tayari kinakuwa na copyright.

Mfano mi nikikopi thread yako hii na kuipost kwenye blog yangu hapo nimeviolate copyright na unauwezo wa kunishtaki.

Kwa hiyo kama hizo video unazoshea zina copyright hilo ni kosa labd tu kwamba hao wenye videos wawe hawana mda nazo kufuatilia hayo.
 
Sasa mkuu kwenye upande wa kontent ndio tatizo, kwai video nyingi online zina copyright sasa nawezaje kushare video kama hizi bili kuingia matatizoni?
 
sasa mkuu kwenye upande wa kontent ndio tatizo, kwai video nyingi online zina copyright sasa nawezaje kushare video kama hizi bili kuingia matatizoni?
Kwani wewe unataka kupost videos zenye kuhusiana na nini?
Watu wanaupload videos za wasanii wa bongo na wanapata monetize.

Youtube huwa wanadelete videos ambazo zina copyright cha muhimu video ziedit.
 
Kwani ww unataka kupost videos zenye kuhusiana na nini?
Watu wanaupload videos za wasanii wa bongo na wanapata monetize.

Youtube huwa wanadelete videos ambazo zina copyright cha muhimu video ziedit.
Powa sana mkuu nataka nianze kwa ajili cartoon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na malipo yanalipwaje mkuu? Na ni kiasi gani cha chini cha malipo?
Malipo unapokea kwa njia ya western union.

Malipo yanategemea na idadi ya views, muda ambao mtu ameangalia tangazo kupitia video yako, clicks za kwenye tangazo, location(nchi za watazamaji wa video ).

Pesa unazitoa kutoka akaunti ya adsense ikifika $100 hii ndio minimum ya kuwithdraw.
 

Kwa idea ya lyrics unaiongeleaje kuhusu upande wa copyright
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…