Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Kwenu Watanzania Wote,
Ili tuweze kufuta umasikini Tanzania ndani ya siku moja, BUNGE letu lijalo litakaloanza kikao chake siku ya Jumanne ya tarehe 26/01/2010 lipitishe Azimio na Sheria na kuiagiza Serikali yetu kuwa THAMANI YA EKARI MOJA YA ARDHI Ya Nchi Yetu Popote Pale Ilipo ni Dola za Kimarekani Milioni Moja kuanzia tarehe 01/02/2010.
Ili tuweze kufuta umasikini Tanzania ndani ya siku moja, BUNGE letu lijalo litakaloanza kikao chake siku ya Jumanne ya tarehe 26/01/2010 lipitishe Azimio na Sheria na kuiagiza Serikali yetu kuwa THAMANI YA EKARI MOJA YA ARDHI Ya Nchi Yetu Popote Pale Ilipo ni Dola za Kimarekani Milioni Moja kuanzia tarehe 01/02/2010.