sio invisible tu tunayo plogram ya kuhack website nzima
65$dolar
ukihitaji ni pm
nahitaji hiyo appwana jukwaa habalini za leo leo nataka kuwaambia kua kuna andoid application mpya ambayo inakuwezesha kuhack kila kitu kuanzia mawasiliano ya sim sms whatsapp,instagram pamoja na facebook bila kusahau jamiiforums
apps hyo inapatikana katika playstore katika kuonyesha kua mimi pamoja na wataaram wenzangu wa it nilifanikiwa kuwa hack watu wawili humu jamiiforums
rubbii huyu nimemuhack katika account yake ya jamiiforums pamoja na whatsapp acount kwahyo kila kinacho endelea katika whatsapp yake na pamoja coment zake nyingi za jamiiforums nazipata
pia nime muhack mtu mmoja anaitwa miss chagga
huyo pia nimemuhack lakini yeye ana watu wengi kiasi kwamba yaani napata notification nyingi sana kutoka kwake
kama uki hitaji nicheki kwa inbox
Washapigwa wengi tu mpaka sasa, naona Mods wanaacha JF iwe free market sasanasikia harufu ya mtu kutapeliwa
rubii miss chagga mmeitwa huku
Naona kama kuna tukio limeunganushwa hapa ili lilete maana
Hahahaaa ameshindwa tu kukueleza wazi waziJamaa anamahaba tu huyo maana hakuna namna nyingine
sio mkurya ni mjingaHebu ni hack mie tuone
Halafu we utakuwa mkurya tu
Maana matumiz ya l na r yanakuchanganya
rubii miss chagga mmeitwa huku
Ha ha haaa..... mie acha nicheke tu maana hata simu ya whatsapp sina et
huyu jamaa alinitisha mwanzo..nikasema kumbe convo zote ninazochat na rubii jamaa anazo..Ila nikagundua kumbe ni kalumanzila tu tehJamaa anatumia style za waganga wa kienyeji, anatishia ili wamtafute!
Atakuwa kakufananisha huyuHa ha haaa..... mie acha nicheke tu maana hata simu ya whatsapp sina et