namna ya kuhack jamiiforums account

namna ya kuhack jamiiforums account

we una hack sim za wengine tu hack na simu ya dem wako ufe kwa pressure..
 
wana jukwaa habalini za leo leo nataka kuwaambia kua kuna andoid application mpya ambayo inakuwezesha kuhack kila kitu kuanzia mawasiliano ya sim sms whatsapp,instagram pamoja na facebook bila kusahau jamiiforums

apps hyo inapatikana katika playstore katika kuonyesha kua mimi pamoja na wataaram wenzangu wa it nilifanikiwa kuwa hack watu wawili humu jamiiforums

rubbii huyu nimemuhack katika account yake ya jamiiforums pamoja na whatsapp acount kwahyo kila kinacho endelea katika whatsapp yake na pamoja coment zake nyingi za jamiiforums nazipata


pia nime muhack mtu mmoja anaitwa miss chagga

huyo pia nimemuhack lakini yeye ana watu wengi kiasi kwamba yaani napata notification nyingi sana kutoka kwake


kama uki hitaji nicheki kwa inbox
nahitaji hiyo app
 
Vitu vya kushangaza kuhusu hii post
-majina yalivyotajwa ni burudani tosha hasa la rubii
-lugha iliyotumika ni majanga
-avatar
-Jinsi Jamiiforum ilivyoandikwa
Funga kazi ni maudhui ya post


Ha ha haaa....ngoja nawewe akuhack
 
Huyu jamma boya kweli, ulishindwa kupunguza icons kwenye desktop leo hii eti uje udanganye ume-hack account za watu, fala kweli
 
Back
Top Bottom