Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Uitikaji au uathiri mahusiano yes iwapo namna inayotumika sio preference ya mtendewa,kuna mtu mwingine anataka aitwe mpenzi,mwingine hataki hivyo anataka sweet, darl au calling by his/her name kwahiyo na uitikaji nao ni chaguo tu mtakalo penda kulitumia.
Najisikia raha sana mwanamke anapoitikia "bbeeee"
Nikiwa namwita huwa natumia Daddy!!! nae anajibu Yes my daughter!!!
Tukiwa kwenye ugomvi huwa namwita jina lolote lililo karibu yangu :becky::becky::becky::becky:
Nikiwa namwita huwa natumia Daddy!!! nae anajibu Yes my daughter!!!
Tukiwa kwenye ugomvi huwa namwita jina lolote lililo karibu yangu :becky::becky::becky::becky:
Nikiwa namwita huwa natumia Daddy!!! nae anajibu Yes my daughter!!!
Tukiwa kwenye ugomvi huwa namwita jina lolote lililo karibu yangu :becky::becky::becky::becky:
Nikiwa namwita huwa natumia Daddy!!! nae anajibu Yes my daughter!!!
Tukiwa kwenye ugomvi huwa namwita jina lolote lililo karibu yangu :becky::becky::becky::becky:
Mkiitana na mpenzio hivi.... uhusiano wa "baba na mtoto/binti" - mnataka kuonyesha nini au mnaashiria nini?
Vipi wale wenye mazoea ya kuitikia ''nini''
Vipi wale wenye mazoea ya kuitikia "nini"?
astaghafillulah!! halafu mkiwa kwenye kona kona mnaitanaje...?
Mkiitana na mpenzio hivi.... uhusiano wa "baba na mtoto/binti" - mnataka kuonyesha nini au mnaashiria nini?
Ha ha haa hapa ndio inkuwa shida kutoka darl mpaka kenge!