Namna ya kujaza akaunti ya malipo ya wateja Fiverr

Namna ya kujaza akaunti ya malipo ya wateja Fiverr

Mfipa Origino

Member
Joined
Apr 25, 2016
Posts
78
Reaction score
43
Heri ya Christmas na Mwaka Mpya.

Wataalamu, naombeni ushauri namna ya kujaza njia ya malipo kwa ajili ya wateja Fiverr kwa Tanzania.
Maana kuna gig nilipost juzi na nikaanza kupata maoni ya wateja wakitaka kuweka oda, sasa mmoja alisema njia ya malipo sijaweka, na mwingine alisema alihitajika awe na email yangu.
Screenshots zipo hapo kwa msaada zaidi, maana bado najifunza wakuu.
Screenshot_20241227-025326_2.jpg
 
Heri ya Christmas na Mwaka Mpya.

Wataalamu, naombeni ushauri namna ya kujaza njia ya malipo kwa ajili ya wateja Fiverr kwa Tanzania.
Maana kuna gig nilipost juzi na nikaanza kupata maoni ya wateja wakitaka kuweka oda, sasa mmoja alisema njia ya malipo sijaweka, na mwingine alisema alihitajika awe na email yangu.
Screenshots zipo hapo kwa msaada zaidi, maana bado najifunza wakuu.View attachment 3185932
Screenshot_20241227-053922_1.jpg
 
Asante sana kwa ushauri wako, nimefungua akaunti ya Payoneer kwa ajili ya kuambatanisha na nimepewa siku saba za Review. Naufanyia kazi ushauri wako pia, asante sana 👏
 
Hongera kwa kuchapukia hiyo fursa huko Fiverr ni salama sana kufanya Kazi na developer wengi wa bongo hawapo kabisa huko fiverr sijui kwanini

Shida yako tafuta video YouTube nyingi tu watakupa maelekezo
Shida ni ID za kuverify ni shida kwa Fiverr wanahitaji passport tu kwa TZ unlike other country ambapo wanatoa option nyingi kama National ID, DL na ID nyingine
 
Mtoa mada tumia paypal ni rahisi na salama..Ukitumiwa hamisha kwenye Grey App hii ya wakenya then unaitoa unapata direct kwenye simu..
AU
hapohapo paypal unaunganisha na Debid card ya bank then unakua unalipa na kupokea malipo maisha yamerahisishwa sanaa
 
Shida ni ID za kuverify ni shida kwa Fiverr wanahitaji passport tu kwa TZ unlike other country ambapo wanatoa option nyingi kama National ID, DL na ID nyingine
Nimepewa na option ya National D huko Payoneer
Mtoa mada tumia paypal ni rahisi na salama..Ukitumiwa hamisha kwenye Grey App hii ya wakenya then unaitoa unapata direct kwenye simu..
AU
hapohapo paypal unaunganisha na Debid card ya bank then unakua unalipa na kupokea malipo maisha yamerahisishwa sanaa
Asante sana kwa ushauri, nasubiri Review ya siku saba kwa watu wa Payoneer.
 
Mtoa mada tumia paypal ni rahisi na salama..Ukitumiwa hamisha kwenye Grey App hii ya wakenya then unaitoa unapata direct kwenye simu..
AU
hapohapo paypal unaunganisha na Debid card ya bank then unakua unalipa na kupokea malipo maisha yamerahisishwa sanaa
Paypal kwa Tanzania, si nasikia hawaruhusu kupokea ela..?
 
Nimepewa na option ya National D huko Payoneer

Asante sana kwa ushauri, nasubiri Review ya siku saba kwa watu wa Payoneer.
Payoneer pia safi, Skrill pia safi zaidi yaaani huwezi kukosa njia za malipo kwa dunia ya leo ukikosa utakua mzembe sanaa
 
Asante sana kwa ushauri, Payoneer wali “verify” akaunti ndani ya siku mbili tu..
 
Asante sana kwa ushauri wenu juu ya hili, baada ya kusajili akaunti ya Payoneer na kuthibitishwa. Nilikuwa nasumbuka mara kadhaa kujaza njia ya malipo kwa sababu “ verification code ” ilikuwa haiji kwenye simu, nikawa nataka kubadili namba nyingine “ verification number ”” nikajaza namba mpya na code ikaja, sasa nikijaza ili nibonyeze SUBMIT ” batani ikawa haiweki rangi ya blue au kijani ili kufanya kazi, karibuni wiki mbili najaribu inagoma. Hatimaye nimetafuta mtandaoni ( Google ), nikakuta andiko kwamba suluhu ni ku download app ya Grammarly Keyboard na kuiruhusu itumike, hatimaye nika login Fiverr na kwenye Earning nika add Payoneer kama njia ya malipo, ajabu na kweli nimepokea verification code kupitia namba ile ya zamani na nimefanikisha.
Ni mwendo wa kusubiri order kwenye gigs zangu zinazopata Imprensions pekee, mmefanya nitabasamu kwa ushauri wenu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250112-032110.png
    Screenshot_20250112-032110.png
    43.3 KB · Views: 4
Back
Top Bottom