Namna ya kujiunga na jeshi la polisi au magereza

Namna ya kujiunga na jeshi la polisi au magereza

moseskwaslema

Member
Joined
May 3, 2012
Posts
92
Reaction score
13
Watanzania wenzangu naomba tusaidiane ktk hili,nina mdogo wangu kamaliza f4 na amepata 1v ya 28 anataka kujiunga na jeshi la polisi au magereza lakini hatujui huwa watu wanajiungaje kwani binafsi sijawahi kuona matangazo yao na criteria za kujiunga,naomba mnisaidie ndugu zangu.
 
kwa jeshi la magereza anandika barua kwenda kwa mkuu wa gereza lililo jirani nae akiambatanisha vyeti vyake vya shule pamoja na cheti cha kuzaliwa urefu ft 5.6' kama kwa mjomba kuna kazi basi hata akipungua urefu poa tu,
 
Back
Top Bottom