Namna ya kujua kama Simu yako Imedukuliwa 'Hacked'

Namna ya kujua kama Simu yako Imedukuliwa 'Hacked'

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
VIASHIRIA KUWA HUENDA SIMU YAKO IMEDUKULIWA

Simu yako kufanya kazi tofauti na ulivyoitaka au ambazo hujaidhinisha kama kutuma Ujumbe, kupiga simu

Uwepo wa Programu Wezeshi (Applications) ambazo hujaziweka wewe na hazikuja na simu hiyo kutoka kwa Watengenezaji

Chaji kuisha haraka kuliko kawaida: Ishara kuwa kuna Programu Wezeshi inafanya kazi pasipo kuonekana (in background)

Matumizi ya Internet kuongezeka tofauti na awali: Ishara kuwa kuna Programu Wezeshi inatumia

Simu kufanya kazi taratibu, kujizima na kujiwasha, au kukwama inapofanya kazi

Mambo ya Kufanya Kama Kifaa Chako Kimedukuliwa:

Ingia kwenye orodha ya Programu Wezeshi, na kuondoa ambazo hukuzipakua au hazikuja na simu

Badilisha Nywila zako zote, za simu, Barua pepe, na Programu Wezeshi nyingine muhimu

Ondoa akaunti yoyote usiyoijua iliyosakinishwa kwa barua pepe yako

Kagua simu yako (scan) kwa kutumia Application zinazoaminika ili kudhibiti zaidi udukuzi huo.
 
VIASHIRIA KUWA HUENDA SIMU YAKO IMEDUKULIWA

Simu yako kufanya kazi tofauti na ulivyoitaka au ambazo hujaidhinisha kama kutuma Ujumbe, kupiga simu

Uwepo wa Programu Wezeshi (Applications) ambazo hujaziweka wewe na hazikuja na simu hiyo kutoka kwa Watengenezaji

Chaji kuisha haraka kuliko kawaida: Ishara kuwa kuna Programu Wezeshi inafanya kazi pasipo kuonekana (in background)

Matumizi ya Internet kuongezeka tofauti na awali: Ishara kuwa kuna Programu Wezeshi inatumia

Simu kufanya kazi taratibu, kujizima na kujiwasha, au kukwama inapofanya kazi

Mambo ya Kufanya Kama Kifaa Chako Kimedukuliwa:

Ingia kwenye orodha ya Programu Wezeshi, na kuondoa ambazo hukuzipakua au hazikuja na simu

Badilisha Nywila zako zote, za simu, Barua pepe, na Programu Wezeshi nyingine muhimu

Ondoa akaunti yoyote usiyoijua iliyosakinishwa kwa barua pepe yako

Kagua simu yako (scan) kwa kutumia Application zinazoaminika ili kudhibiti zaidi udukuzi huo.
Ni kweli.
Lakini tatizo liko zaidi ya hivyo ulivyoeleza.

Kwenye suala hili zipo Software (Spywares) na Hardwares ambazo zinatumika katika shughuli hiyo ya Hacking. Siyo rahisi kihivyo kuweza kutambua uwepo wa tatizo hili kwenye kifaa chako kinachotumia mawasiliano ya kimtandao.

Software like Pegasus, Copy9, etc.

Hardware like Spy-phones, bugging devices, etc.
 
VIASHIRIA KUWA HUENDA SIMU YAKO IMEDUKULIWA

Simu yako kufanya kazi tofauti na ulivyoitaka au ambazo hujaidhinisha kama kutuma Ujumbe, kupiga simu

Uwepo wa Programu Wezeshi (Applications) ambazo hujaziweka wewe na hazikuja na simu hiyo kutoka kwa Watengenezaji

Chaji kuisha haraka kuliko kawaida: Ishara kuwa kuna Programu Wezeshi inafanya kazi pasipo kuonekana (in background)

Matumizi ya Internet kuongezeka tofauti na awali: Ishara kuwa kuna Programu Wezeshi inatumia

Simu kufanya kazi taratibu, kujizima na kujiwasha, au kukwama inapofanya kazi

Mambo ya Kufanya Kama Kifaa Chako Kimedukuliwa:

Ingia kwenye orodha ya Programu Wezeshi, na kuondoa ambazo hukuzipakua au hazikuja na simu

Badilisha Nywila zako zote, za simu, Barua pepe, na Programu Wezeshi nyingine muhimu

Ondoa akaunti yoyote usiyoijua iliyosakinishwa kwa barua pepe yako

Kagua simu yako (scan) kwa kutumia Application zinazoaminika ili kudhibiti zaidi udukuzi huo.
X#01#
 
kama simuyako imedondokamkwa maji before donwloaf hii app inanyonya maji
 

Attachments

  • Screenshot_20240807-184115_Lite.jpg
    Screenshot_20240807-184115_Lite.jpg
    266.5 KB · Views: 13
Back
Top Bottom