Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Vua nguo zote utimue mbio mitaani utajikuta hospitalini kesho yake.Jamani mm nimeboronga.
Nawezaje kulazwa hospitali nikiwa mzima wa afya ili nisolve tatizo langu fulani?Maana hiyo ndo solution pekee.
Naombeni ushauri
Kaka( Au dada sijui) Mbona Hili jambo rahisi sana, wewe kama unahela zako hazina kazi nenda hospital binafsi ambazo haziko bize kisha waambie shida yako, watakulaza hata ukitaka drip utawekewa pia, ata ukitaka operation utafanyiwa hata kama hauumwi, watafumua tu matumbo kisha wachezee maini wakichoka wanashona. LAKINI usiwe mgumu kulipa bili zote.Jamani mm nimeboronga.
Nawezaje kulazwa hospitali nikiwa mzima wa afya ili nisolve tatizo langu fulani?Maana hiyo ndo solution pekee.
Naombeni ushauri